Mimi ni mdau wa Elimu, napendekeza Sana tuweze kubadili mfumo mzima wa Elimu kwa kuwa pengine inaweza kutokuwa na faida ya kujinasua na wimbi la umasikini.
Miaka Michache ijayo tutakuwa na ongezeko la watu wengi Sana watakao kuwa wahanga wa ukosefu wa ajira.
Kipi kifanyike.
1: Tufundishwe sitadi za vitendo kuanzia kidato Cha 1-4 baada ya hapo watu watumie hiyo elimu Yao kwa manufaa ya maisha Yao atakaye taka kuelee kusoma asome kwa msingi wa kutoajiliwa yaani asitegemee ajira popote pale Ila akipata Basi ashkru.
2: Tubadili mfumo wote wa Elimu kuanzia vidudu Hadi elimu ya mwisho. Mwanangu akiingia vidudu awe anajua kabisa yeye ni driver au yeye ni mwashi.
Kwa kufanya hivyo tutanusuru Sana kizazi chetu.
Hebu fikilia Kuna watu wangapi waliomaliza four au chuo mwaka Jana vipi mwaka juzi vipi mwaka kesho n.k je wanaenda wapi?
Serikali inamishahara yakuwalipa hao wote? Vipi miradi au maendeleo ya nchi yatafanyika?
Kama itakuwa vizuri na iwe hivyo.
Miaka Michache ijayo tutakuwa na ongezeko la watu wengi Sana watakao kuwa wahanga wa ukosefu wa ajira.
Kipi kifanyike.
1: Tufundishwe sitadi za vitendo kuanzia kidato Cha 1-4 baada ya hapo watu watumie hiyo elimu Yao kwa manufaa ya maisha Yao atakaye taka kuelee kusoma asome kwa msingi wa kutoajiliwa yaani asitegemee ajira popote pale Ila akipata Basi ashkru.
2: Tubadili mfumo wote wa Elimu kuanzia vidudu Hadi elimu ya mwisho. Mwanangu akiingia vidudu awe anajua kabisa yeye ni driver au yeye ni mwashi.
Kwa kufanya hivyo tutanusuru Sana kizazi chetu.
Hebu fikilia Kuna watu wangapi waliomaliza four au chuo mwaka Jana vipi mwaka juzi vipi mwaka kesho n.k je wanaenda wapi?
Serikali inamishahara yakuwalipa hao wote? Vipi miradi au maendeleo ya nchi yatafanyika?
Kama itakuwa vizuri na iwe hivyo.