Napendekeza huyu ndie awe mgombea

Napendekeza huyu ndie awe mgombea

Natamani mgombea awe Mangula pia awe Rais wa Tg! kisha asilimia kubwa ya wabunge watoke Ukawa! Walahi Tg itakuwa Japan ya Afrika!
 
tpaul mshana jr nawatakia heri ya sikukuu ya Noeli!!!! naona bado mna hangover ya uchaguzi wa serikali za mitaa. Sisi watanzania ndo tutachagua nani katika chama cha mapinduzi achukue hatamu hutaki tutaonana mwakani muda na wakati kama huu mmeinamisha vichwa chini:boxing:
 
Last edited by a moderator:
tpaul mshana jr nawatakia heri ya sikukuu ya Noeli!!!! naona bado mna hangover ya uchaguzi wa serikali za mitaa. Sisi watanzania ndo tutachagua nani katika chama cha mapinduzi achukue hatamu hutaki tutaonana mwakani muda na wakati kama huu mmeinamisha vichwa chini:boxing:
Agogwe nawe pia sikukuu njema ila kumbuka action speak louder than words! Let's wait n see mwakani sio mbali!!! Nitakukumbusha
 
Last edited by a moderator:
Kumbuka nani aliandaa mou na kusainisha mkataba na mpaka kutoa pesa kama hazina mwenyewe.

Sikumbuki, nikumbushe kwa kuweka na ushahidi. Si kwa kubwabwaja maana bavichaa humu huwa mnabwabwaja bila mpango.
 
Back
Top Bottom