jaxonwaziri
JF-Expert Member
- Feb 17, 2010
- 375
- 195
Wakuu wangu na wanaJF wenzangu, mnazidi tu kunipa hasira! Nadhani maumivu ninayoyasikia moyoni ni makubwa sana!
Hivi kweli hatuwezi kuamka kwa pamoja kwenda vijijini kuwaeleza wadanganyika kuwa nchi hii ilishauzwa na Chama Cha mafisadi walishagawana mapato zamani?
Ni dhuluma ya aina gani kumnyima mtu elimu, afya, miundombinu baada ya miaka yooote hii ya uhuru halafu eti unakuja leo na "T-Shirt" ama "Kanga" na vijihela "Tsh. 5000" ati iliakuone wewe wa maana huku ukicheka cheka kirahisi tu!
Watu hawa ni wahalifu, wauaji! Nadhani tunatakiwa kuwaadhibu vikali sana ifikapo Octoba 31 mwaka huu! Nadhani Mungu ameanza kutulipia kwa kuanza kushughulika nao, wengine wanadondoka dondoka tu bila sababu hadi wanaanza jitihada za kulindwa na Mashetani!
Hivi kweli hatuwezi kuamka kwa pamoja kwenda vijijini kuwaeleza wadanganyika kuwa nchi hii ilishauzwa na Chama Cha mafisadi walishagawana mapato zamani?
Ni dhuluma ya aina gani kumnyima mtu elimu, afya, miundombinu baada ya miaka yooote hii ya uhuru halafu eti unakuja leo na "T-Shirt" ama "Kanga" na vijihela "Tsh. 5000" ati iliakuone wewe wa maana huku ukicheka cheka kirahisi tu!
Watu hawa ni wahalifu, wauaji! Nadhani tunatakiwa kuwaadhibu vikali sana ifikapo Octoba 31 mwaka huu! Nadhani Mungu ameanza kutulipia kwa kuanza kushughulika nao, wengine wanadondoka dondoka tu bila sababu hadi wanaanza jitihada za kulindwa na Mashetani!