iamriq_arthur
JF-Expert Member
- May 1, 2021
- 452
- 1,133
- Thread starter
- #41
Topic ukiiweka kwenye public siyo yako tena. Kama unataka kumilki topics ziweke ukutani chumbani kwako.
Au na hili unataka nikufundishe?
Katika maisha yangu huwa sipendi kuzungukwa kwa watu wajuaji kama wew , kwanza hunijui wala sikujui, naweza kuambia kitu kibaya mpaka ukaichukia JF