Napenda wanawake wafupi

Napenda wanawake wafupi

Habari za jioni wana JF
Jamani Mimi nampenda mwanamke mfupi kuanzia futi 4.5 ,mpaka 5.5 yaani nikimuona mwanamke mwenye kimo hicho huwa nafrahi saana

Inasemekana wanawake wengi wafupi wana kishuu.....
Pole mimi labda tawapenda nikiwa natoka usingizini
 
Njoo pm me mfupiiii

Saint Ivuga ndo nshapata mtu huku mana unannyanyasha na huo uref wako
 
Back
Top Bottom