Mohammed Khatibu
JF-Expert Member
- Jun 28, 2018
- 1,242
- 1,793
Uko vizur mkuu!
Mwamba Mimi mwenyewe nilikuwa naishi kama wewe lakini nilijikuta nabadilika automatically baada ya kuona namiss vingi..Kati ya vitu vilivyonishinda maishan mwangu ni
1.Kuwa na rafiki ambae sina issue nae kama vile biashara, kaz n.k
2.Kutaja jina langu full
3.Kutaja kwetu nlikotokea
4.Kutaja kazi nnayoifanya
5.Kupiga smu kwa mtu ili kumsalimia yaan siwez n lazma kuwe na issue tunaizungumzia
6.Kuanzisha story itakayonihitaji mm nitoe taarifa zangu kama vile jina,dini,chimbuko langu,n.k
7.Staki mtu ajue mahali nnapoishi
8.Mtu akija hom kwangu najiskia sna amani yaan kama nimebanwa vile
9.Kupiga story za umbea no no No....ukinpigia smu ili ulete umbea ntakuskiizaaaa afu tunaagana
10.Maishani mwangu sjawahi kuwa na rafiki wa kudumu yan kama tunafanya kazi/biashara bas tutakua marafiki kwa mda huo baada ya hapo kila mtu afate yake mm siez pga smu wala sms (japo mara moja moja twaweza kuwasiliana)
11.Sna mazoea na ndugu zangu hata kdogo yaan nna urafiki na dadangu na kaka angu bhaaaasi.
12.Mambo mengi napenda kuyafanya kwa siri ktu knachofanya watu kuhsi mm sio mtu wa kawaida.
13.Nkiwa na tatzo spend mtu yyte ajue
na mengine meeengiii
12.I enjoy My LYFE.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asee wewe unaweza kuwa copy yangu 80% mimi sina tabia ya kuamini mtu kabisa hata, mpaka nipate ndio naamini nimepata./Not possible till get doneKati ya vitu vilivyonishinda maishan mwangu ni
1.Kuwa na rafiki ambae sina issue nae kama vile biashara, kaz n.k
2.Kutaja jina langu full
3.Kutaja kwetu nlikotokea
4.Kutaja kazi nnayoifanya
5.Kupiga smu kwa mtu ili kumsalimia yaan siwez n lazma kuwe na issue tunaizungumzia
6.Kuanzisha story itakayonihitaji mm nitoe taarifa zangu kama vile jina,dini,chimbuko langu,n.k
7.Staki mtu ajue mahali nnapoishi
8.Mtu akija hom kwangu najiskia sna amani yaan kama nimebanwa vile
9.Kupiga story za umbea no no No....ukinpigia smu ili ulete umbea ntakuskiizaaaa afu tunaagana
10.Maishani mwangu sjawahi kuwa na rafiki wa kudumu yan kama tunafanya kazi/biashara bas tutakua marafiki kwa mda huo baada ya hapo kila mtu afate yake mm siez pga smu wala sms (japo mara moja moja twaweza kuwasiliana)
11.Sna mazoea na ndugu zangu hata kdogo yaan nna urafiki na dadangu na kaka angu bhaaaasi.
12.Mambo mengi napenda kuyafanya kwa siri ktu knachofanya watu kuhsi mm sio mtu wa kawaida.
13.Nkiwa na tatzo spend mtu yyte ajue
na mengine meeengiii
12.I enjoy My LYFE.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na watu wote tuseme AmenBangi sijawahi kuitumia direct labda indirect kwa moshi tu wa vijiweni na ziwani ila siichukii kama sigara huwa nashauri vijana kitaalamu Bangi ni nzuri kuliko sigara
Na Soda ni mbaya kuliko Pombe
Sent using Jamii Forums mobile app
Vitu gani mkuu. Mimi naona life style hii ni ulinzi tosha wa maisha yani ata ukipanda Boda Leo kesho unapanda ingine muda mwingine nashukia karibu na home natembea kwa mguu tu ivo yani.Mwamba Mimi mwenyewe nilikuwa naishi kama wewe lakini nilijikuta nabadilika automatically baada ya kuona namiss vingi..
Kati ya vitu vilivyonishinda maishan mwangu ni
1.Kuwa na rafiki ambae sina issue nae kama vile biashara, kaz n.k
2.Kutaja jina langu full
3.Kutaja kwetu nlikotokea
4.Kutaja kazi nnayoifanya
5.Kupiga smu kwa mtu ili kumsalimia yaan siwez n lazma kuwe na issue tunaizungumzia
6.Kuanzisha story itakayonihitaji mm nitoe taarifa zangu kama vile jina,dini,chimbuko langu,n.k
7.Staki mtu ajue mahali nnapoishi
8.Mtu akija hom kwangu najiskia sna amani yaan kama nimebanwa vile
9.Kupiga story za umbea no no No....ukinpigia smu ili ulete umbea ntakuskiizaaaa afu tunaagana
10.Maishani mwangu sjawahi kuwa na rafiki wa kudumu yan kama tunafanya kazi/biashara bas tutakua marafiki kwa mda huo baada ya hapo kila mtu afate yake mm siez pga smu wala sms (japo mara moja moja twaweza kuwasiliana)
11.Sna mazoea na ndugu zangu hata kdogo yaan nna urafiki na dadangu na kaka angu bhaaaasi.
12.Mambo mengi napenda kuyafanya kwa siri ktu knachofanya watu kuhsi mm sio mtu wa kawaida.
13.Nkiwa na tatzo spend mtu yyte ajue
na mengine meeengiii
12.I enjoy My LYFE.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sikupingi ✔️✔️✔️Vitu gani mkuu. Mimi naona life style hii ni ulinzi tosha wa maisha yani ata ukipanda Boda Leo kesho unapanda ingine muda mwingine nashukia karibu na home natembea kwa mguu tu ivo yani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe ma introverts tupo wengi humu tufungue uzi wetu tuwa tunaelezea faida na changamoto tunazokutana nazoGod of Introverts niko hapa..
In short wewe Ni mchoyo na mbinafsi!! Zipo tabia ambazo hata ukiwa nazo inakua c tatzo sana kama tukokuongea sana sina shda na hlo, mambo yako meng kua secure hlo Galina shda lakn hili la kutokutaka hata marafk zako wafaham kwako?? Hlo Ni mbaya zaid
Kumbe ma introverts tupo wengi humu tufungue uzi wetu tuwa tunaelezea faida na changamoto tunazokutana nazo
Asee wewe unaweza kuwa copy yangu 80% mimi sina tabia ya kuamini mtu kabisa hata, mpaka nipate ndio naamini nimepata./Not possible till get done
Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUO
Mwamba Mimi mwenyewe nilikuwa naishi kama wewe lakini nilijikuta nabadilika automatically baada ya kuona namiss vingi..
labda sku moja ntabadilika
Naomba mwongozo wa kuwaingiza watu chamaniGod of Introverts niko hapa..
Bipolar disorder ikoje chief ?Dah mkuu nina shida kama yako, bahati nzuri katika mishe zangu za hapa na pale nikakutana Dr mmoja wa hospitali ya rufaa akaniambia nina shida ya introvent na bipolar disorder na mwenyewe nilikuwa sijijui naona naishi fresh tu
Sent using Jamii Forums mobile app