Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,924
- 95,758
Siku hizi ata chura sipendi rafiki![emoji16][emoji16][emoji16]Bebe rafiki hivi kwanini siku hizi una busara hivi?sijazoea ujue[emoji45]
We Muganda nn inaman uelew tz Bange imkuw halal Rambo imekuw haramha ha ha ha kwa nini mkuu
ha ha ha ha haWe Muganda nn inaman uelew tz Bange imkuw halal Rambo imekuw haram
MHhh!Siku hizi ata chura sipendi![emoji16][emoji16][emoji16]
Nyie hata mkipotezana wiki tu hamtambuani, kwa mawigi na mikorogo ya kichina,na majina mnabadili kabisa sembuse miaka kadhaa?
Ukikutana nae katika umri kama wa wazee hapo utamfanya nini?
Ni kweli mkuu,nadhani cha muhimu ni maandalizi na kujikinga na magonjwa hatarishi pamoja na kupata lishe bora + mazoeziHiyo ina maanisha kwamba wenzetu life span yao ni kubwa mno. ...Yaani katika huo umri still wote bado wapo Hai? !!!!
Kwa mfano ukiwa umefikia miaka ya 65+ ndio watokee,nadhani inapendeza sanaMimi siombei kukutana na ex wangu hata mmoja.
Siku zote naangalia forward to working with partner mpya.
HapanaKwa mfano ukiwa umefikia miaka ya 65+ ndio watokee,nadhani inapendeza sana
ha ha ha ha kwa nini mkuuHapana
hata nikifika 70 sitaki kuonana nao
Sitaki mazoea na ma ex mkuu.ha ha ha ha kwa nini mkuu
Kwa umri ule unapendeza kwa sababu ni umri wa kukaribia kwenda mbinguniSitaki mazoea na ma ex mkuu.
Tukiachana huwa sipendi mazoea.
Thibitisha mkuu
ha ha ha haAngalia picha zako za miaka 5 iliyopita utajua mchangiaji alichomaanisha mkuu
ha ha ha ha,hawa kwa sasa hivi si wapenzi ila walikuwa wanakumbukia enzi hizo walipokuwa wapenziIkutokee nin.
Ukapigane vita.
Upotee.
Au umpoteze mtu.
Huku mkipotezana.... Utakuta demu kachakazwa na vijana.... Huwez kumtamani teena.
Aah aah
Sawa mkuuKwa umri ule unapendeza kwa sababu ni umri wa kukaribia kwenda mbinguni
Baada ya miaka 2 Mbele Watanzania tutataman tukutane na RAMBO lakin haitawezekana kam saiz!No way RIP Rambo 🏃🏃