Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 39,818
- 61,500
ha ha ha haNyie hata mkipotezana wiki tu hamtambuani, kwa mawigi na mikorogo ya kichina,na majina mnabadili kabisa sembuse miaka kadhaa?
Yeyote tu yule huko miaka ya mbeleni,huwa sipendi kumkwaza mtu katika mahusiano;tutaachana lakini tutazungumza kwa namna nyingine.Ikutokee ukutane na yupi kati ya wale maex zako kadhaa?
ha ha ha kwa umri ule network haisomiPasi na shaka huyo mbabu mwenzetu kidudu kitakuwa kilisimama
Nyie hata mkipotezana wiki tu hamtambuani, kwa mawigi na mikorogo ya kichina,na majina mnabadili kabisa sembuse miaka kadhaa?
Thibitisha mkuuUkweli mchungu
Ukikutana nae katika umri kama wa wazee hapo utamfanya nini?Yeyote tu yule huko miaka ya mbeleni,huwa sipendi kumkwaza mtu katika mahusiano;tutaachana lakini tutazungumza kwa namna nyingine.
Ukikutana nae katika umri kama wa wazee hapo utamfanya nini?
Nitamkumbushia utundu wetu tulivyokuwa wapenzi miaka hiyo,kwa kumshika miguu,mikono n.k huku tukichekaUkikutana nae katika umri kama wa wazee hapo utamfanya nini?
tumeongeza kodi kwa hyo yanaweza kupunguaNyie hata mkipotezana wiki tu hamtambuani, kwa mawigi na mikorogo ya kichina,na majina mnabadili kabisa sembuse miaka kadhaa?
ha ha ha ha umetoa jibu sahihiRafiki urafiki ni mtamu sana siyo lazima kufanyana!
ha ha ha hatumeongeza kodi kwa hyo yanaweza kupungua
Rafiki urafiki ni mtamu sana siyo lazima kufanyana!
Watakuwa na familia zao hawa,si unajua wenzetu wametuzidi vitu vingi;upendo,mawazo,kipato,mapenzi n.kDaa! Hawana familia zao? Mleta uzi gusia na hapa... (mke au mme au watoto,)
ha ha ha ha kwa nini mkuuBaada ya miaka Mbele Watanzania tutataman tukutane na RAMBO lakin haitawezekana kam saiz!ππ