Napenda kutoa shukurani zangu za dhati kwa mitandao ya simu nchini

Mmmh!!!! , kiukweli hizi mb zilikuwa ziwafanya watu kuwa wendawazimu, muda wote watu walikuwa wanashinda inst, fb nk. kupost mapicha, ushambenga na ushankunaku, ni watu wachache sana waliokuwa wakitumia mb kwa manufaa na kujua matumizi sahihi ya Internet, kwa hili wa Tanzania hakuna kupinga, binafsi naunga mkono hoja.

Shy land napita mie.

Apologise lady mimi hunifurahisha hiyo safari yako hahaha(utan)

backa kwenye mada.

kama ilivyo kwa vifaa vingine vya takinolojia ya kigeni kama gari, pikipiki,n.k
lazima mtumiaji afundishwe namna yakukitumia, ili kile kitu afaidike nacho.

watanzania hatujafahamishwa matumizi ya internet yakuleta positive impact, matokeo yake tunaharibu na shughul zetu zingine.
 
Last edited by a moderator:
kitu chochote ambacho hujakitegeneza wewe lazima ufate maalekezo kwa aliyekitegeneza kwamba kinatumika vipi?
ndio maana kila siku watu wanajifunza kuendesha gari ili wapate weledi mujarabu wa kutumia kifaa hicho ili kisitete madhara katika jamii.

asilimia kubwa ya watu wanaotumia internet tanzania hawajui matumizi yapi yanafaa kuleta matokeo chanya hadi mimi nikiwemo.

Sijajua unazungumzia jamii gani, lakini siku Internet ikizimwa kwa siku moja tu Tanzania madhara yake yatakufanya ufute kauli yako.

Hatutakatai kwenye msafara wa mamba na kenge wamo, hii haimaniishi watanzania wengi wanatumia Internet isivyo.
 
Apologise lady mimi hunifurahisha hiyo safari yako hahaha(utan)

backa kwenye mada.

kama ilivyo kwa vifaa vingine vya takinolojia ya kigeni kama gari, pikipiki,n.k
lazima mtumiaji afundishwe namna yakukitumia, ili kile kitu afaidike nacho.

watanzania hatujafahamishwa matumizi ya internet yakuleta positive impact, matokeo yake tunaharibu na shughul zetu zingine.

Yeah! huo ndio ukweli, tumeirukia juu juu tekinolojia.

Wacha niendelee na safari maana mashineni leo kulikuwa na foleni.
 
Sijajua unazungumzia jamii gani, lakini siku Internet ikizimwa kwa siku moja tu Tanzania madhara yake yatakufanya ufute kauli yako.

Hatutakatai kwenye msafara wa mamba na kenge wamo, hii haimaniishi watanzania wengi wanatumia Internet isivyo.

naomba unifahamishe au tufahamishe tusiojua kwamba ni madhara gani? yatokayotokea kama internet itazima nchi zima.
 
Napenda kutoa shukurani zangu za dhati kabisa kwa mitandao ya simu nchini kupunguza kufurushi cha mb.

wamenisaidia sana kufanya shughuli zangu za kimaendeleo kwa ustadi wa hali ya juu, nakufuta kabisa uteja ambao ulitaka kujengeka katika kichwa changu wa kwamba haipiti dak bila kuingia kwenye internet.

kwa sasa nimefurahi sana nikilog in mtandao mmoja mb tiyari zimeisha.

Wakati zamani

nalog in jf.
fb.
twitter
inst
google+
yahoo
tagged n.k
na mb bado hazijaisha.


mitandao ya simu kama munanisikia matumizi ya internet yana safasi ndogo sana katika harakati za kimaendeleo nchini tanzania,
nasema hivyo kwa kuzangatia shughuli za watanzani na maisha yao.

naombeni mjaribu kuchuguza upya katika kifurishi chenu cha internet
cha siku
wiki na mwenzi(naongelea kifurushi maalumu cha internet tu)
punguzeni na huko au mpandishe bei.

ili watanzania tufanye kazi.


Nkishalewa ntarudi kuchangia sa hv celewi chochote hapa
 
Asiyejua maana haambiwi maana

Haambiwi maana kwa sababu mtu anayetaka kumwambia naye hajui faida yake..!

baadala yake amebaki kukarii faida za fasihi nakuziweka kuwa faida za internet

kwamba huelimisha,huburundisha,chanzo cha wasiliano n.k
 
Napenda kutoa shukurani zangu za dhati kabisa kwa mitandao ya simu nchini kupunguza kufurushi cha mb.

wamenisaidia sana kufanya shughuli zangu za kimaendeleo kwa ustadi wa hali ya juu, nakufuta kabisa uteja ambao ulitaka kujengeka katika kichwa changu wa kwamba haipiti dak bila kuingia kwenye internet.

kwa sasa nimefurahi sana nikilog in mtandao mmoja mb tiyari zimeisha.

Wakati zamani

nalog in jf.
fb.
twitter
inst
google+
yahoo
tagged n.k
na mb bado hazijaisha.


mitandao ya simu kama munanisikia matumizi ya internet yana safasi ndogo sana katika harakati za kimaendeleo nchini tanzania,
nasema hivyo kwa kuzangatia shughuli za watanzani na maisha yao.

naombeni mjaribu kuchuguza upya katika kifurishi chenu cha internet
cha siku
wiki na mwenzi(naongelea kifurushi maalumu cha internet tu)
punguzeni na huko au mpandishe bei.

ili watanzania tufanye kazi.

Sina la kukwambia kwa maana nishajua wewe ni mjinga na hujijui kama ni mjinga.
 
Haambiwi maana kwa sababu mtu anayetaka kumwambia naye hajui faida yake..!

baadala yake amebaki kukarii faida za fasihi nakuziweka kuwa faida za internet

kwamba huelimisha,huburundisha,chanzo cha wasiliano n.k

Kuna mtu yoyote amekuuliza kuelezea faida ya fasihi andishi na fasihi simulizi hapa?
 
mwanga lutila Naomba ufanye uchunguzi, utafiti, au ukae chini ufikiri kwa makini, kwamba tekinolojia ya internet unayoizugumzia kwa sasa na toka ienee tanzania imeleta maendeleo gani?

pili, watumiaji wa internet nchini wanatumia internet kwa ajili ya mambo gani?

tatu, je? watanzania wameeleweshwa namna yakutumia internet ili ilete matokeo chanya katika shughuli za kimaendeleo.?

Bulldog kabla hujaanza kunitukana nieleweshe hayo maswali ili baadaye nifiche upumbavu wangu.
 
Last edited by a moderator:
Mmmh!!!! , kiukweli hizi mb zilikuwa ziwafanya watu kuwa wendawazimu, muda wote watu walikuwa wanashinda inst, fb nk. kupost mapicha, ushambenga na ushankunaku, ni watu wachache sana waliokuwa wakitumia mb kwa manufaa na kujua matumizi sahihi ya Internet, kwa hili wa Tanzania hakuna kupinga, binafsi naunga mkono hoja.

Shy land napita mie.

Kwahyo kushinda kwenye mitandao na kupost picha na kua busy ndo washushe vifurushi Bila kuangalia Hali ya Mtanzania Dunia ya leo Bila Internet haiendi kuna watu wanatumia kwa vitu vya muhimu sana reason zako ni poor sana kiukweli kuhalalisha unyonyaji wa wananchi kisa eti mtu ku chart really? Let think out of the box
 
kwan wote wanaotumia internet wanafanya hayo? huyo ni wewe
 
Kwahyo kushinda kwenye mitandao na kupost picha na kua busy ndo washushe vifurushi Bila kuangalia Hali ya Mtanzania Dunia ya leo Bila Internet haiendi kuna watu wanatumia kwa vitu vya muhimu sana reason zako ni poor sana kiukweli kuhalalisha unyonyaji wa wananchi kisa eti mtu ku chart really? Let think out of the box

Eeeeeeee!!!!!!!!! naomba usiniwekee maneno kinywani mwangu, hizo hasira zako fanya kuongoza nazo hadi kwenye makampuni ya simu husika, huku jf kila mtu yuko huru kusema anavyoona, kifupi mimi nimefurahia na ndio maana silalamiki, beba strong reason zako peleka kunako husika.
 
Kama ujui faida za internet mpaka saiv muda huu.. Jiulize mada yako umepost kwa njia gan na ukijibu basi ujue hilo ndo jibu lako na usiulize tena...Au kama umepost kwa njia ya S.L.P. sawa endelea kuuliza
 
Mmmh!!!! , kiukweli hizi mb zilikuwa ziwafanya watu kuwa wendawazimu, muda wote watu walikuwa wanashinda inst, fb nk. kupost mapicha, ushambenga na ushankunaku, ni watu wachache sana waliokuwa wakitumia mb kwa manufaa na kujua matumizi sahihi ya Internet, kwa hili wa Tanzania hakuna kupinga, binafsi naunga mkono hoja.

Shy land napita mie.
Hivi lazima mje muharishie humu??haya kachambe sasa,ushatia uharo hapa!!
 
Back
Top Bottom