Napenda kuoa msichana asiyezaa

Napenda kuoa msichana asiyezaa

The fact kwamba una mtoto tayari utamuumiza tu mdada wa watu. Angalau kama mama wa mtoto angekua katangulia mbele ya haki... Ila kama yupo hai na mna mawasiliano duuh! Anyway!!! Endelea na msako mkuu
Sasa kama mtoto yupo na msichana hawezi kuzaa si ndio inakuwa vzr zaid kwa mume kutozaa nje ?
 
Hiyo ni kazi ya kutwangwa pilipili mshahara kukohoa analo
maneno hayoooo. . ! Sasa kama wanaume wanataka watoto na wanawafukuza wake wasio zaa kwa dharau na kudharirisha. . . Hawa wataolewa na nani hawa jaman ?
 
Sasa kama mtoto yupo na msichana hawezi kuzaa si ndio inakuwa vzr zaid kwa mume kutozaa nje ?
Just imagine!!
Unajijua huwezi kuzaa! Ukaoa mwanamke ambae ana mtoto tayari. Kila mtu uoande wake na marafiki zake wanajua kua yupo vizuri! Mnaishi miaka na miaka hawaoni mdada ndoa inajibu. Unadhani atakaenyioshewa kidole ni wewe au wewe na mkeo?

Kitakachotokea ni kwamba kila mtu uoande wako atajua kua mwanamke ana matatizo, ndi mwanzo wa masengenyo na kubezwa! Angalau kama tatizo mlibebe wote wawili bila nani kujulikana ni mwenye tatizo.

Sijui kama unanielewa!!!
 
Just imagine!!
Unajijua huwezi kuzaa! Ukaoa mwanamke ambae ana mtoto tayari. Kila mtu uoande wake na marafiki zake wanajua kua yupo vizuri! Mnaishi miaka na miaka hawaoni mdada ndoa inajibu. Unadhani atakaenyioshewa kidole ni wewe au wewe na mkeo?

Kitakachotokea ni kwamba kila mtu uoande wako atajua kua mwanamke ana matatizo, ndi mwanzo wa masengenyo na kubezwa! Angalau kama tatizo mlibebe wote wawili bila nani kujulikana ni mwenye tatizo.

Sijui kama unanielewa!!!
Nimekuelewa !
 
Just imagine!!
Unajijua huwezi kuzaa! Ukaoa mwanamke ambae ana mtoto tayari. Kila mtu uoande wake na marafiki zake wanajua kua yupo vizuri! Mnaishi miaka na miaka hawaoni mdada ndoa inajibu. Unadhani atakaenyioshewa kidole ni wewe au wewe na mkeo?

Kitakachotokea ni kwamba kila mtu uoande wako atajua kua mwanamke ana matatizo, ndi mwanzo wa masengenyo na kubezwa! Angalau kama tatizo mlibebe wote wawili bila nani kujulikana ni mwenye tatizo.

Sijui kama unanielewa!!!
Lkn mi nadhan committment ndio kitu cha msingi. . . Yaan hakuna kitu kinawexa kufanyika jamii isikuseme kwa lolote. . . Haiwezekani !
 
Lkn mi nadhan committment ndio kitu cha msingi. . . Yaan hakuna kitu kinawexa kufanyika jamii isikuseme kwa lolote. . . Haiwezekani !
Unaongea kirahisi hivyo sababu wewe si mwenye hilo tatizo
 
Sasa we unafikiri ni nini kifanyike, ni bora msichana mwenye tatizo hili asiolewe kabisa ?
Napenda kweli waolewe!
Ila wasiolewe kama njia ya kutotaka kupata watoto wengine! Kuna mkaka pia alikua anatafuta mwanamke wa hivyo na sababu zake ni kwamba tayari ana watoto wawili ko hataki kuzaa tena!

Kibiblia hamna mwanamke alie tasa!!! Ipo siku atazaa tu. Imagine mmeingia kwenye ndoa akapata mimba na kujifungua mapacha!!! Sababu mwanamke wa hivyo hakai tu na kukubali hali yake, atahangaika kila mahali mpaka apate mtoto. Ikitokea hivyo utafanyaje? Na uko tayari kumsapoti kutafuta suluhisho?
 
Napenda kweli waolewe!
Ila wasiolewe kama njia ya kutotaka kupata watoto wengine! Kuna mkaka pia alikua anatafuta mwanamke wa hivyo na sababu zake ni kwamba tayari ana watoto wawili ko hataki kuzaa tena!

Kibiblia hamna mwanamke alie tasa!!! Ipo siku atazaa tu. Imagine mmeingia kwenye ndoa akapata mimba na kujifungua mapacha!!! Sababu mwanamke wa hivyo hakai tu na kukubali hali yake, atahangaika kila mahali mpaka apate mtoto. Ikitokea hivyo utafanyaje? Na uko tayari kumsapoti kutafuta suluhisho?
Huwez kuacha kumsapoti mke unaempenda na ujauzito ni matunda ya ulichokifanya so unakubali na mnashirikiana na kusonga mbele !
 
Napenda kweli waolewe!
Ila wasiolewe kama njia ya kutotaka kupata watoto wengine! Kuna mkaka pia alikua anatafuta mwanamke wa hivyo na sababu zake ni kwamba tayari ana watoto wawili ko hataki kuzaa tena!

Kibiblia hamna mwanamke alie tasa!!! Ipo siku atazaa tu. Imagine mmeingia kwenye ndoa akapata mimba na kujifungua mapacha!!! Sababu mwanamke wa hivyo hakai tu na kukubali hali yake, atahangaika kila mahali mpaka apate mtoto. Ikitokea hivyo utafanyaje? Na uko tayari kumsapoti kutafuta suluhisho?
yeye anachoitaji ni huyo mwanamke tena huyu jamaa safi sana hata ukimupm utakuwa unaelewa kila kitu koz kajitahidi kuwa mwazi kwa kila jambo! Hawezi kuweka siri kubwa hapa.lakn kasema mwenye interest akuje
 
yeye anachoitaji ni huyo mwanamke tena huyu jamaa safi sana hata ukimupm utakuwa unaelewa kila kitu koz kajitahidi kuwa mwazi kwa kila jambo! Hawezi kuweka siri kubwa hapa.lakn kasema mwenye interest akuje
Bora umenisaidia mkuu
 
Back
Top Bottom