Erasto G
Member
- Mar 18, 2017
- 55
- 41
- Thread starter
- #21
Wasipojitokeza, "Itakuwa sijapata msichana of my dream lkn pia hata yeye atakuwa amekosa mume ambaye angemfariji". I won't feel bad, life wil go on!Mkuu sidhani kama atajitokeza!!! Wanaume wanapenda michepuko wa hali hiyo ili wagonge tu bila kujali kubebesha mimba.
Ila kama una nia ya kuoa kweli... Mungu akutangulie


