Napenda kujua

Raia Fulani

JF-Expert Member
Mar 12, 2009
10,876
2,739
Napenda kujua ni kwa nini mtu akiwa chotara (zaidi wa kizungu na kibantu) huwa anaitwa black hata kama anaukaribia uzungu? Nimekuwa nikijiambia wakati mwingine kuwa hiyo ni heshima kwa mwafrika (kuwa uwepo wake unatambulika) lakini naona kama wakati mwingine ni ubaguzi wa wazi. mzungu na mwafrika wamezaa mtoto, then mtoto analazimishiwa asili ya kibantu. Hamwoni kama hii ni sawa na kumkataa mtoto uliyemzaa mwenyewe? si dhambi? nasi waafrika tumelichukua hilo kama lilivyo na kulikubali. mbona kwa wahindi na waarabu inakuwa tofauti?



obama27_16804595.jpg
 
Last edited:
Dah! yaani hakuna wa kunipa jibu au wadau hawana pwent au ndio kubushit. mada gani zinahitajika humu?
 
I think the better way is to call somebody a different name which do not neccesarily include white or black color.eg ''afro american'' bcz this black/white does not have a clear and direct translation, na ukiichambua unapata madhaifu in so many ways. Which color is exacltly is black? which is white? there is no answer which is clear and less confusing.
 
afterall colour is only skin deep.No need to sweat it out to figure out what colour the kid is.Let him /her be!
 
Nahisi ni kwa sababu mara nyingi, si zote, mtoto huyo anakuwa na maumbile ya watu weusi zaidi kuliko weupe, kwa mfano pua kubwa na bapa, na rangi nyeusi zaidi, kutembea [ umemuona Obama anavyodundika? ], rythim when it comes to dancing ..lol.. na mambo kama hayo. Lakini si wote, mtu kama Blake Griffin [ sijui kama wewe ni mpenzi wa Basket, lakini uki-google utapata picha zake ] anaonekana ni mzungu kabisa, lakini ni mix.
 
Back
Top Bottom