Aina ninayotaka mimiUngependa kuwa na mwenza wa aina gani?
km wewew unayesoma apa
Ungependa kuwa na mwenza wa aina gani?[/QU
NIKIIFAFANUA HIYO RED NAONA HII THREAD HAINIHUSU,
NA HASA UKIZINGATIA KUWA MIMI NINAPENDA.
:noidea::noidea::noidea:atakaenipenda,kunijali,kuniheshim,kupenda na kuwajali ndugu na jamaa zangu,mwenye kupenda maendelea,asiwe na wivu wa kijinga jinga,mwenye kupenda na kujali watoto pamoja na kusaidiana ktk mambo mengi ktk maisha mapoja na ya nyumbani eg kupika,fua {ah ah ah
]kazi ipo lkn zaidi ya yote mcha Mungu na mwenye upendo wa dhati usioisha.
Ungependa kuwa na mwenza wa aina gani?
We mkareee.....aisee paree pareeeaina yoyote nitakayewezana nae