Napenda kujua kuhusu hili

USHAURI
Chakufanya mtafute padre yeyote wa RC...au sikiliza radio tumain maswali na kuhusu bible then ask...

ONYO...
USIJE UKAMUULIZA MCHUNGAJI AU KIONGOZI YEYOTE AMBAYE SI WA RC...
 
Kwani elimu kama hii itakusaidia nini? Umeelekezwa ukatafute vitabu usome....au nenda kwa mapadre wapo wengi mtaani tu yanini kusumbua wana JF pasipo ulazima kwa kutaka kujua kitu ambacho kwa maelezo na fikra zako haviendi na wengi wanavyodhania?.




Unajuaje kama JF hakuna mapadre? Tusipende kulaumu na kukatisha watu tamaa bana
 
Soma ufunuo kwenye biblia yule mnyama ambaye hesabu yake ni 666 ndiye huyo. So hakuna kilichojificha hapo. Hata nyuma ya kiti chake cha enzi kuna inverted cross ambayo ni masonic cross.

ni huyu hapa:


face of muhammed.png
 
ndugu mbona mnapenda sana udini?? quran ikichambuliwa mnaanza kuua watu na mkuu wenu aliyelianzanisha anakaa kimya kama yuko pamoja nanyi wakati wana malengo mengine kabisa .... halafu inashangaza sana hakuuona udini wakati anasoma seminari .... na cha kushangaza pia mbona RA na EL hawapigi kelele kuhusu udini?? teheteheteeh!! hakuna jambo geni hapa JF ambalo halikuwahi kujadiliwa ... hivyo hiyo sio mada mpya hapa jamvini. nakusaidia kwa kukupa link hapo chini ufuatilie hiyo post na utapata majibu yake huko na uache kuwapotezea watu muda hapa ...!!

https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/21159-ni-nini-hasa-maana-ya-namba-666-a.html

nakutakia kila la kheri katika udini wako!!

Nahisi umekurupuka kujibu na hukuzingatia swali la msingi. ngoja nikukumbushe tena then unijibu

Nilikuwa nikicheki katika link hii Illuminati Symbols nikaona katika nembo za hawa jamaa wanaojulikana kama freemason(Dini ya shetani) ni namba 666 na imeoneshwa kuwa namba hii ipo kwenye kofia ya Papa. Swali kuna uhusiano gani kati ya papa na hawa jamaa?
 
Nahisi umekurupuka kujibu na hukuzingatia swali la msingi. ngoja nikukumbushe tena then unijibu

Nilikuwa nikicheki katika link hii Illuminati Symbols nikaona katika nembo za hawa jamaa wanaojulikana kama freemason(Dini ya shetani) ni namba 666 na imeoneshwa kuwa namba hii ipo kwenye kofia ya Papa. Swali kuna uhusiano gani kati ya papa na hawa jamaa?

tumia kichwa kufikiri ndugu ... si umeomba kuelimishwa?? umepewa link ya post inayoelimisha ombi lako ... nini usichoelewa bidada??

https://www.jamiiforums.com/habari-na...mba-666-a.html
 
soma hiyo post hapo chini labda itakupa mwanga kidogo au sana
Nilisoma kuhusu ‘symbolism’ na ‘numerical patterns’ katika Biblia na mojawapo ya ‘texts’ nilizofanyia utafiti ni Ufunuo wa Yohane 13:16-18.

Lugha na misemo ya kitabu cha Ufunuo (Greek, apokalypsis; English, revelation) inafanana na ile ya kitabu Daniel. Hivyo, kuna ‘school of thought’ inayosema kuwa huenda ‘author’ wa vitabu hivi viwili ni mmoja.

‘School of thought’ nyingine inasema kitabu cha Ufunuo wa Yohanne kiliandikwa wakati ambao Kanisa (wanakanisa, Wakristo) lilipata mateso makubwa - persecutions – na ujumbe wa kitabu hicho ilikuwa kuwatia moyo Wakristo waliokuwa wakiteswa kwa ajili ya imani yao wasikate tamaa na waamini kuwa Mungu yupo pamoja nao muda wote na kwamba yeye ndiye mwanzo na mwisho wa yote. Hivyo, mateso ya hapa duniani siyo mwisho wa yote.

Ndiyo maana katika mateso yote hayo kuna ujumbe wa matumaini – Mungu atawaokoa watu wake na kuwafanya waishi naye milele katika maisha mapya na atafuta kila chozi walilo nalo. Kitabu hiki kiliandikwa mwishoni mwa utawala wa Domitian (81-97 AD).

Kulingana na lugha na ujumbe wa kitabu chenyewe, inaaminika kuwa kiliandikwa wakati wa ‘persecutions’. Kwa hiyo, lugha na misemo iliyotumika, lazima isomwe sambamba na lugha ya zamani Greek. Katika Greek number kama 1,2,3,4,6,7 na 12 au multiples zake zina maana fulani. Namba 6 ni namba ya uovu au mwovu na hivyo namba 6 tatu (666) ni alama ya mwovu hasa (kusisitiza zaidi) – mwovu wa waovu – evil forces.

Kwa wakati ule, ujumbe uliwahusu – first addressees - wale waliokuwa wanatesa Kanisa kwa ajili ya imani yake na hasa Emperor Nero kwani kwa Greek helufi za jina hilo zinafanya 666 au mtawala yeyote ambaye alitawala kimabavu (kinyama) na kuwatesa watu na pia Wakristo wenyewe ili wasikate tamaa. Hiyo, 666 ilikuwa kama ‘code name’ ya mtu mkatiri (anti-Christ) aliyekuwa anawatesa na kuwaua Wakristo (Wafuasi wa Yesu Kristo).

Kwa mazingira yetu ya leo – second addresses – ina‘refer’ pia kwa watu au watawala ambao hawatawali kwa haki bali wanaishia kumwaga damu za watu kama wakati wa ‘persecutions’ hasa wakati wa utawala wa Nero na Domitian.

Yaani, watu ambao wanasababisa vita na umwagaji damu, wanaoua maalbino kwa sababu ya tamaa ya mali, mafisadi – au watu wasio waadilifu kwa maneno na matendo yao.

Kwa kifupi, 666 ni MTU au WATU WAOVU.

NB: Epukana na wale wanao‘force’ meneno ya Latin VICARIUS FILI DEI (maneno yaliyoandikwa kwenye kofia ya papa) kuwa namba 666 na kusema eti inasimama badala ya Papa (Baba Mtakatifu). Sasa jiulize ni papa mmoja tu au wote (ili mradi uwe papa tayari unakuwa 666)?

Hii siyo kweli kwa sababu kuu mbili: 1. Kitabu cha Ufunuo hakikuandikwa kwa lugha ya Latin na hivyo kisingeweza kutumia ‘literature’ na ‘numerical patterns’ za Latin. 2. Ujumbe wake haumhusu mtu mmoja as such bali yeyote yule mwenye ‘characteristics’ za uovu ingawa anaweza kuwa papa pia (kama ni mtu mwovu).

Wanaotafisiri hivyo wanajumlisha V+I+C(A wanairuka kwa vile haipo)+I (U wanaifanya V ili iwe 5 na S wanairuka)(F wanairuka)+I+L+D (E wanairuka)+I. Ukijumlisha hizo namba utakuta siyo 666 lakini wanazi‘force’ na kusema herufi zake zinaleta 666 na kwa hivyo kwa vile hayo maneno yameandikwa kwenye kofia ya papa, wanasema namba 666 ni yeye.

Inawezekana wanaoitumia kwenye bidhaa wanakusudi fulani. Lakini, ilivyotumiwa kwenye Biblia ni kama nilivyoeleza hapo na hata wewe ukisoma Kitabu cha Ufunuo na kukielewa utaona ujumbe wake ni huo wa kuwapa matumaini wanaoteseka kwa kuonewa, kunyanyaswa, kubaguliwa au kuuawa. Last edited by Magobe T; 1st December 2008 at 08:38 PM.
 
Kuna hili nalo sio mbaya tukishea.

The date and time of death of pope John Paul II was 9:37 PM. April 2, 2005 (April being the 4th month) Run the numbers and we get: 9 x 37 x 4/2 = 666. Of course this ignores the year, 2005. However, it also works with the year added: 9 x 37 x 4/2 x 200 x 5 = 666,000. Now the questions is, what does "666" mean in this case? Perhaps these coded and/or numerical signs should be left to the individual to interpret.
 
Kuna hili nalo sio mbaya tukishea.

The date and time of death of pope John Paul II was 9:37 PM. April 2, 2005 (April being the 4th month) Run the numbers and we get: 9 x 37 x 4/2 = 666. Of course this ignores the year, 2005. However, it also works with the year added: 9 x 37 x 4/2 x 200 x 5 = 666,000. Now the questions is, what does "666" mean in this case? Perhaps these coded and/or numerical signs should be left to the individual to interpret.

Huyo pope aliuliwa baada ya kupewa u pope na kutaka kuliweka sawa kanisa, ma freemason waliomo ndani ya vatican wakaona anawaletea za kuletwa wakamkili. its a long story
 
Huyo pope aliuliwa baada ya kupewa u pope na kutaka kuliweka sawa kanisa, ma freemason waliomo ndani ya vatican wakaona anawaletea za kuletwa wakamkili. its a long story
Yes kiongozi hii ndio shule tunayoihitaji,kwani hao Freemasons wamejificha kwa style ipi ndani ya Vatican na Papa alitaka kuziba ufa upi ndani ya kanisa.kama unaona itakaa kdini na hawa Mods wataifuta bac naomba unitumie kule PM.Nitashukuru
 
Back
Top Bottom