Jackwillpower
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 2,301
- 3,414
Shetani anatumia wakala anayeitwa Mnyama wa namba 666 maana mnyama(PAPACY) huyo alipewa kiti cha enzi cha Shetani (Ufunuo 12:9; 13:2).
NOTE: ieleweke tunapozungumzia MPINGA KRISTO tubazungumzia MFUMO (PAPACY) sio MTU (POPE) sababu Pope anaweza kutubu muda wowote, lakini MFUMO WA UPAPA upo vile vile ,anayekalia kiti kile anatekeleza maagizo kutoka Kwa Yule JOKA,
Hivo ieleweke unaposoma unabii elewa MPINGA KRISTO ni MFUMO SIO MTU .
haya tuendeleee....nilikuwa naweka sawa maana wengi wamekuwa wakichanganya
Lakini sasa tunaona pia mnyama huyo naye akitumia mawakala wake ambao wanaitwa Illuminati.
Tunaona pia kuwa Illuminati nao wanatumia mawakala wanaoitwa Freemason na vyama vingine vya siri pamoja na taasisi kubwa zisizo za siri.
Kwa ujumla, Illuminati wanatumia mbinu ya “Divide and Rule” iliyotumiwa wakati wa ukoloni katika kulitawala bara la Africa.
Kwa nje Illuminati wanajionyesha kuwa na nia ya kuifanya jamii iwe nzuri na safi
lakini kwa ndani lengo lao kubwa ni kujikweza na hatimaye kuweza kuitawala jamii yote ya ulimwengu.
Wafuasi wa Islamic mysticism(Sufism) wanaamini kwamba wao wako kwenye safari ya kiroho kwenda kwa Mungu na
kwamba inawezekana kuwa karibu sana na Mungu wakati mtu akiwa hai – hapa kuwa karibu na Mungu wanamaanisha kumsogelea Mungu kimwili na sio kimaadili –
Katika imani ya Sufism, mtu akiwa katika hali ya utambuzi – mawazo, hisia, mitazamo nk,
wanaamini kwamba yote yanatoka kwa mungu au ni zawadi kutoka kwa mungu.
NOTE: Freemason au Illuminati au mawakala wao wanapomtaja Mungu hawamaanishi MUNGU wa mbinguni ,hata manabii wa uongo kama kina mwamposa wanapomtaja Mungu au Yesu hawamaanishi huyo unayemjua wewe, na hapo ndipo wanapokamata wengi
Tuendeleee....
Rejea September 11 kule World Trade Center, waendesha ndege zilizogonga yale majengo marefu walikuwa na imani ya Sufism.
Sufis wanaamini kwamba wao wanajitahidi kuwa mungu na mungu anajitahidi kuwa wao, yaani wanajitahidi kufanana na shetani na
shetani anajitahidi kufanana na wao, na
hivyo siku moja watakutana na kufikia utimilifu
wa kufanana wote.
Lakini pia Illuminati katika imani ya Jesuit mental displine (Hatha Yoga) wanajitahidi kuwafanya watu wa imani ya Kikristo kuamini kwamba kwa juhudi zao wenyewe wanaweza kufikia ukamilifu wa kufanana na Mungu. Hapa bwana J.D Buck, katika kitabu chake kiitwacho
Mystic Masonry anasema:
“It is far more important that men should strive to become Christs than that they should believe that Jesus was Christ…all men may reach the same Divine perfection.” – J.D. Buck, Mystic Masonry.
Anamaanisha
“Ni muhimu kwamba watu wanapaswa kujitahidi kuwa Wakristo kuliko kuamini kwamba Yesu alikuwa ni Kristo….watu wote wanaweza kufikia ukamilifu ule ule wa kimbingu.” – J.D. Buck, Mystic Masonry.
Ndio maana katika dini ya Waislamu utakutana na mafundisho mengi sana yanayomshambulia Yesu na kumshusha hadhi aliyonayo
.
hiyo inatokana na The Illuminati Doctrines katika imani ya Islamic mysticism (Sufism).
Hata hivyo Biblia inatuambia vizuri kwamba hiyo ilikuwa roho na nia ya Lucifer
aliposema kwamba:
“…Nitapanda mpaka mbinguni, nitakiinua kiti changu juu kuliko nyota za Mungu; nami nitaketi juu ya mlima wa mkutano, Katika pande za mwisho za Kaskazini. Nitapaa kupita vimo vya mawingu,
Nitafanana na yeye Aliye Juu.”
Hii unaipata kitabu cha Isaya 14:13.
Lucifer aliapa kukiweka kiti chake juu na hatimaye kufanana na Aliye juu – yaani Mungu. Maana ya mlima wa mkutano ni kanisa la Mungu.
Kama umo ndani ya kanisa linalojiita kuwa ni kanisa la Mungu – najua kwamba makanisa yote yanajiita kuwa ni makanisa ya Mungu – sasa muelewe kwamba
Lucifer aliapa kuketi juu ya mlima wa makutano.
Kuhusu Pande za Kaskazini katika unabii Kaskazini ni upande wa mlima Sayuni – yaani upande wa kanisa la Mungu;
Soma Zaburi 48:2
“Kuinuka kwake ni mzuri sana, Ni furaha ya dunia yote, Mlima Sayuni pande za Kaskazini, Mji wa Mfalme Mkuu.”
Hekalu la Suleiman au Nyumba ya Mungu lilikuwa upande wa kaskazini ,
Kwahiyo Shetani aliapa kukaa kwenye makanisa ,ndio maana nimekuwa nikiwaelezea kila siku jinsi Shetani alivyoingia kwenye hayo makanisa mnayosali ,
Soon nitawaletea Somo la PEACE PLAN ,muone freemason wanavyofanya kazi na viongozi wa makanisa na mpango wa kuanzisha madhehebu kama uyoga unavyofanya kazi,
Hivyo shetani amefanikiwa kuuteka ulimwengu wa
kiroho kwa kutumia mnyama wa
namba 666 na Illuminati katika Islamic mysticism,
na Jesuit mental displine – yaani
Hatha Yoga.
NOTE: ieleweke tunapozungumzia MPINGA KRISTO tubazungumzia MFUMO (PAPACY) sio MTU (POPE) sababu Pope anaweza kutubu muda wowote, lakini MFUMO WA UPAPA upo vile vile ,anayekalia kiti kile anatekeleza maagizo kutoka Kwa Yule JOKA,
Hivo ieleweke unaposoma unabii elewa MPINGA KRISTO ni MFUMO SIO MTU .
haya tuendeleee....nilikuwa naweka sawa maana wengi wamekuwa wakichanganya
Lakini sasa tunaona pia mnyama huyo naye akitumia mawakala wake ambao wanaitwa Illuminati.
Tunaona pia kuwa Illuminati nao wanatumia mawakala wanaoitwa Freemason na vyama vingine vya siri pamoja na taasisi kubwa zisizo za siri.
Kwa ujumla, Illuminati wanatumia mbinu ya “Divide and Rule” iliyotumiwa wakati wa ukoloni katika kulitawala bara la Africa.
Kwa nje Illuminati wanajionyesha kuwa na nia ya kuifanya jamii iwe nzuri na safi
lakini kwa ndani lengo lao kubwa ni kujikweza na hatimaye kuweza kuitawala jamii yote ya ulimwengu.
Wafuasi wa Islamic mysticism(Sufism) wanaamini kwamba wao wako kwenye safari ya kiroho kwenda kwa Mungu na
kwamba inawezekana kuwa karibu sana na Mungu wakati mtu akiwa hai – hapa kuwa karibu na Mungu wanamaanisha kumsogelea Mungu kimwili na sio kimaadili –
Katika imani ya Sufism, mtu akiwa katika hali ya utambuzi – mawazo, hisia, mitazamo nk,
wanaamini kwamba yote yanatoka kwa mungu au ni zawadi kutoka kwa mungu.
NOTE: Freemason au Illuminati au mawakala wao wanapomtaja Mungu hawamaanishi MUNGU wa mbinguni ,hata manabii wa uongo kama kina mwamposa wanapomtaja Mungu au Yesu hawamaanishi huyo unayemjua wewe, na hapo ndipo wanapokamata wengi
Tuendeleee....
Rejea September 11 kule World Trade Center, waendesha ndege zilizogonga yale majengo marefu walikuwa na imani ya Sufism.
Sufis wanaamini kwamba wao wanajitahidi kuwa mungu na mungu anajitahidi kuwa wao, yaani wanajitahidi kufanana na shetani na
shetani anajitahidi kufanana na wao, na
hivyo siku moja watakutana na kufikia utimilifu
wa kufanana wote.
Lakini pia Illuminati katika imani ya Jesuit mental displine (Hatha Yoga) wanajitahidi kuwafanya watu wa imani ya Kikristo kuamini kwamba kwa juhudi zao wenyewe wanaweza kufikia ukamilifu wa kufanana na Mungu. Hapa bwana J.D Buck, katika kitabu chake kiitwacho
Mystic Masonry anasema:
“It is far more important that men should strive to become Christs than that they should believe that Jesus was Christ…all men may reach the same Divine perfection.” – J.D. Buck, Mystic Masonry.
Anamaanisha
“Ni muhimu kwamba watu wanapaswa kujitahidi kuwa Wakristo kuliko kuamini kwamba Yesu alikuwa ni Kristo….watu wote wanaweza kufikia ukamilifu ule ule wa kimbingu.” – J.D. Buck, Mystic Masonry.
Ndio maana katika dini ya Waislamu utakutana na mafundisho mengi sana yanayomshambulia Yesu na kumshusha hadhi aliyonayo
.
hiyo inatokana na The Illuminati Doctrines katika imani ya Islamic mysticism (Sufism).
Hata hivyo Biblia inatuambia vizuri kwamba hiyo ilikuwa roho na nia ya Lucifer
aliposema kwamba:
“…Nitapanda mpaka mbinguni, nitakiinua kiti changu juu kuliko nyota za Mungu; nami nitaketi juu ya mlima wa mkutano, Katika pande za mwisho za Kaskazini. Nitapaa kupita vimo vya mawingu,
Nitafanana na yeye Aliye Juu.”
Hii unaipata kitabu cha Isaya 14:13.
Lucifer aliapa kukiweka kiti chake juu na hatimaye kufanana na Aliye juu – yaani Mungu. Maana ya mlima wa mkutano ni kanisa la Mungu.
Kama umo ndani ya kanisa linalojiita kuwa ni kanisa la Mungu – najua kwamba makanisa yote yanajiita kuwa ni makanisa ya Mungu – sasa muelewe kwamba
Lucifer aliapa kuketi juu ya mlima wa makutano.
Kuhusu Pande za Kaskazini katika unabii Kaskazini ni upande wa mlima Sayuni – yaani upande wa kanisa la Mungu;
Soma Zaburi 48:2
“Kuinuka kwake ni mzuri sana, Ni furaha ya dunia yote, Mlima Sayuni pande za Kaskazini, Mji wa Mfalme Mkuu.”
Hekalu la Suleiman au Nyumba ya Mungu lilikuwa upande wa kaskazini ,
Kwahiyo Shetani aliapa kukaa kwenye makanisa ,ndio maana nimekuwa nikiwaelezea kila siku jinsi Shetani alivyoingia kwenye hayo makanisa mnayosali ,
Soon nitawaletea Somo la PEACE PLAN ,muone freemason wanavyofanya kazi na viongozi wa makanisa na mpango wa kuanzisha madhehebu kama uyoga unavyofanya kazi,
Hivyo shetani amefanikiwa kuuteka ulimwengu wa
kiroho kwa kutumia mnyama wa
namba 666 na Illuminati katika Islamic mysticism,
na Jesuit mental displine – yaani
Hatha Yoga.