uporo wa wali ndondo
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 3,455
- 2,238
Babrosa unadhani bosi anaweza kumgusa kijana wake mpendwa...licha ya madud aliyofanya?Usijali dawa yake inachemka!
Sijui kama serikali imeshtukia hili suala. Wanafikir watanzania wa 1967 ni wa 2017. kwa sasa watanzania wako makin na kinachoendelea .....Kweli saizi watanzania wameendelea kifikra. Yani serikali ikifanya ujinga wowote ule watu lazima wajue tena haraka sana.
Chama cha magufuli.hakuna mjanja wa kumtoa makonda zaidi yakeNashangaa mpaka sasa Chama Changu kinamvumiliaje huyu Kijanaa?
Watisheni kwa bastora adhalani UZEZETA uwatoke uone kama watanyamaza.Nape atulie anyolewe...wenzake mbona wako kimya?!yeye ndio imemuuma sana
Chama chako?? Watu wengine nyuma ya keyboard mnakauli za kikubwa kweli..Nashangaa mpaka sasa Chama Changu kinamvumiliaje huyu Kijanaa?
Shahidi wa UONGO usemaye UONGONape anakoelekea sio kuzuri....jinamizi la uwaziri bado linamtesa madeni aliyokopa bank kwa kutegemea mshahara wa waziri wamemchanganya sana si ajabu akianza kuokota makopo!
Yupi sasa, Bashite msambwanda au Nape!?Nashangaa mpaka sasa Chama Changu kinamvumiliaje huyu Kijanaa?
Nashangaa mpaka sasa Chama Changu kinamvumiliaje huyu Kijanaa?
"Namshauri mwenyekiti Wa chama changu, ili aitenganishe CCM na matendo ya wahuni wachache wanaotumia dhamana waliyopewa kuumiza watu na kupoteza watu, lazima tume iundwe" by Nape Nauuye
Kwa sentensi hiyo tena kutoka kwa Nape ni ukweli usiopingika kuwa watekaji wanatoka chama chetu na hata Mimi naungana na nappe kumuomba Mwenyekiti wetu aunde tume