Nape Nnauye ndani ya 'mkasi'

Nape Nnauye ndani ya 'mkasi'

DALLAI LAMA

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2012
Posts
8,652
Reaction score
2,642
Katibu wa itikadi na Ulegezi wa CCM Nape Nnauye leo Atasikika ktk kipindi cha Mkasi kinachoendeshwa na Salama Jabiri..JE NI NAPE YULE WA POROJO ZA KISIASA AMA ATAKUJA KIVINGINE.stay tuned
 
magamba mbwana misiba na porojo ndio zao sema siku hiz i hate local media let me watch ss7
 
Nape huwa ana vinyweleo kwenye meno na magego, vinavyomuwashaga mnooooooo,nadhani anatafuta kuvikata japo vimekomaaaaaa!!!!
 
Nampongeza kwa kuonyesha ushiriki kwa jamii.
Pia namshauri aachane na siasa za chuki, fitina, uzandiki, umwigulu na uzushi !
 
Fungulia mkasi now umuone nape nauye ndani ya kipindi cha mkasi eatv
 
Uyo jamaa sina hata muda wa kumuangalia ni EMPTY BRAIN
 
NAPE;

Siku tatu kabla baba yake hajafariki alimwambia kuwa amtegemee mungu kwenye siasa na asisshiki mambo ya uchawi.
Kuna mzee alimwambia waende bagamoyo kuloga ila akampiga chenga mzee huyo.
 
anakubali kuwa upinzani unaweza kuchukua nchi ila sio vyama vya siasa hivi vilivyo sasa
 
Back
Top Bottom