Nape Nnauye na Ugoro wa Babu

Wakati huo alimsindikiza baba yake kila mahali (akasahau kusoma). Leo ameteuliwa kuwasindikiza babu zake, Msekwa, Wassira, Chiligati, na Mukama. Wakati huo alibeba kinanda cha baba yake, leo hii itabidi abebe ugoro wa babu zake ndani ya chama. Wakati huo alicheza kinanda, leo hii anacheza rumba la nguvu ya umma na JF.

Vuta hisia, kama uliwahi kuishi nyumba moja na babu yako. Jiulize ni kwa namna nyingi kiasi gani asivyokubaliana na mawazo yako. Jiulize kuhusu babu kutokupenda kuonekana kwamba hajui. Jiulize kuhusu babu kutokubaliana na namna za kisasa za kufanya jambo. Babu anapenda kusikilizwa na kuheshimiwa


Mkuu Gurudumu, inabidi Nape awaambie hawa Babus kwamba, "snorting ugoro is dangerous to the society. It accounts for such carcinoma as Tanzanias backwardness for starters and lately, the evils we are all witness to save for other forms of cancer". Ugoro snorting aint necessarily a habit to pass down to other generations.
 
Umenikumbusha mbali. Moses Nnauye nilimuona mara ya kwanza alipokuja Ruvu JKT mwaka 1976, wakati nikiwa jeshini pale. Nakumbuka pia alikuja na kinanda cha accordion na kututumbuiza kwa nyimbo za siasa za TANU na ASP (wakati huo CCM bado hakijaanzishwa).
 
Hivi nape analijua hili kuwa ni baada ya ccm kushikwa pabaya na CHADEMA ndiyo wanakumbuka damu changa? sasa huu mchanganyiko wa makande na maharage yaliopitwa na muda wake vitalika kweli?

umenivunja mbavu mkuu
 


Mkuu Gurudumu, inabidi Nape awaambie hawa Babus kwamba, "snorting ugoro is dangerous to the society. It accounts for such carcinoma as Tanzanias backwardness for starters and lately, the evils we are all witness to save for other forms of cancer". Ugoro snorting aint necessarily a habit to pass down to other generations.


Asante mkuu kupanua wigo wa mantiki yangu. Kumbe hawa wazee pia siyo wazee wanaofit kwenye karne hii kwa sababu wazee wa siku hizi hawavuti ugoro. Basi hiyo ina maana kwamba ccm imeshindikana kiasi hicho
 
.............................................
Jaribu kujiuliza ni vipi inawezekana kupambana na JF. Watafanyaje kupigana na kitu ambacho hakishikiki. Kitu ambacho siyo taasisi. Kitu ambacho kinaweze kuendeshwa kutokea mahali popote duniani, kinakuwa managed kutokea kwenye computer yoyote au simu. Ukifunga huku wanafungua kule. Ukimkamata huyu, wale wanaendeleza....................................

Asante ndugu yangu, umenikumbusha mbali sana hapo juu. Mzee Punch was UDSM wa miaka ileee!!!

Mzee alikuwa anahubiri..... "Mzee remains incognito, Mzee does no graduate, Mzee is immortal, Mzee is omnipotent, Mzee is omniscient, Mzee is etc, etc".

Mzee was amazingly inspiring!
 
Umenikumbusha mbali. Moses Nnauye nilimuona mara ya kwanza alipokuja Ruvu JKT mwaka 1976, wakati nikiwa jeshini pale. Nakumbuka pia alikuja na kinanda cha accordion na kututumbuiza kwa nyimbo za siasa za TANU na ASP (wakati huo CCM bado hakijaanzishwa).

Mi nakuambia wakati huo nilipomuona Nape anacheza kinanda na baba yake anamsifia na mimi kwa ujinga wangu nikatamani ningekuwa nina fursa kama zake. Salim Ahmed alikuwa na mdogo wake pale jeshini yeye alikuwa akija kwenye ziara za kikazi anamletea novel za kusoma za kiingereza. Leo ndo huwa nawaangalia hawa jamaa wawili napata picha ni namna gani wakati mwingine wazazi tunaweza kupoteza vipaji vya watoto wetu kwa kutaka sifa.

Nape was and he is still very bright, naamini alipotoshwa na baba yake kumfanya maonesho kwa wanajeshi wenzake badala ya kusimamia kama amefanya homework na kama anafaulu mitihani shule. Na sasa hawa wababu wavuta ugoro nao wanamtumia kuzurura kwenye majukwaa ya wananchi wanaosombwa na malori kisha atajidanyanya kwamba amekuwa maarufu sana kisiasa. Mwisho wa siku atafulia tena.
 
Ahaa ataweza wapi kupambana na wana JF. Sijawahi kuona mtu wa ajabu kama yeye. Ninapomsifu ni kwamba anajua kupekuwa simu ya mkewe, kufatilia watu waliowahi kulala na mkewe ili awatrap, thats what I can give him big up. Anafikia hatua ya kubadili majina kwenye face book na kuanza kuchati ugoro wake as if hatumjui. kw kwi kwi huyo mkariibisheni tumuweke wazi yanayojiri kwake, has nothing to do with us. Wala msipoteze muda wa kumjadili. Abebe mikoba ya ugoro kama kaka alivyomtabiria tayari.

God have mercy on him!!
 
Gurudumu, kwani Nape hakusoma? Jamiiforums tusiwe jamvi la waongo na wakuda.

``Nape alizaliwa Novemba 7, 1977 na kusoma Shule ya Msingi Mwanga, Nduguti, Iramba, Singida aliko babu yake kwa upande wa mama. Anasema Nape kuhusu kijiji alikozaliwa: “Ni kijiji ambacho kwa muda wote hakikuwa na umeme na nakumbuka hapa ndipo nilipoanza kusikia uchungu juu ya shida za Watanzania. Hiyo ilikuwa mwaka 1987 hadi mwaka 1989.

“Kisha nilihamia Shule ya Msingi Bukumbi ambako mama alikuwa akifundisha toka mwaka 1989-1993. Mwaka 1994-1995 nilisoma Shule ya Sekondari Ngudu, Kwimba, Mwanza kama mwanafunzi wa Kutwa na baadaye nikajiunga na Shule ya Sekondari Nsumba, Mwanza kati ya mwaka 1995-1997.

"Kati ya mwaka 1998-2000 nilisoma masomo ya kidato cha tano na sita ya uchumi, jiografia na hesabu na kisha mwaka 2001-2003 nilijiunga na Chuo cha Sayansi Jamii Kivukoni, Dar es Salaam, sasa kikiitwa Kumbukumbu ya Mwalimu Julius Nyerere Kivukoni nikapata stashahada ya sayansi ya jamii,” anasema.

“Kivukoni nilisoma siasa, uchumi, saikolojia na uhusiano wa kimataifa. Mwaka 2003-2004 nikajiunga na Chuo cha Diplomasia cha Dar es Salaam kwa stashahada ya pili ya diplomasia na uhusiano wa kimataifa. Baada ya hapo nikaajiriwa kwa mara ya kwanza mwaka 2004 Makao Makuu ya CCM, Lumumba Ofisi Ndogo kama Katibu Msaidizi, Idara ya Mambo ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa chini ya Omar Mapuri, baadaye chini ya Dk Asha Rose Migiro na sasa chini ya Bernard Membe”.

Anasema alikuwa masomoni Chuo Kikuu cha Bangalore nchini India, kwa shahada ya kwanza ya saikolojia, habari na lugha (Kiingereza na Kifaransa) na matumizi ya kompyuta na ushauri nasaha kati ya mwaka 2005 na mapema mwaka huu.``

www.raiamwema.co.tz/news.php?d=225

Nina swali dogo tu Taso,

Huyu mkulu alisoma shule gani hayo masomo ya kidato cha tano na sita??

Shule za msingi umetaja, sekondari (O Level) umetaja lakini high school umepiga kimya.

Hilo tu ndugu yangu, naomba mwongozo wako.
 
Ahaa ataweza wapi kupambana na wana JF. Sijawahi kuona mtu wa ajabu kama yeye. Ninapomsifu ni kwamba anajua kupekuwa simu ya mkewe, kufatilia watu waliowahi kulala na mkewe ili awatrap, thats what I can give him big up. Anafikia hatua ya kubadili majina kwenye face book na kuanza kuchati ugoro wake as if hatumjui. kw kwi kwi huyo mkariibisheni tumuweke wazi yanayojiri kwake, has nothing to do with us. Wala msipoteze muda wa kumjadili. Abebe mikoba ya ugoro kama kaka alivyomtabiria tayari.

God have mercy on him!!

Asante mamii ila hapo kwenye red, uliwahi kuona wapi gurudumu la kike au la kiume? Halafu nadhani umekwenda mno personal kuhusu Nape, binafsi sijajisikia vizuri.
 
``Nape alizaliwa Novemba 7, 1977 na kusoma Shule ya Msingi Mwanga, Nduguti, Iramba, Singida aliko babu yake kwa upande wa mama. Anasema Nape kuhusu kijiji alikozaliwa: “Ni kijiji ambacho kwa muda wote hakikuwa na umeme na nakumbuka hapa ndipo nilipoanza kusikia uchungu juu ya shida za Watanzania. Hiyo ilikuwa mwaka 1987 hadi mwaka 1989.

“Kisha nilihamia Shule ya Msingi Bukumbi ambako mama alikuwa akifundisha toka mwaka 1989-1993. Mwaka 1994-1995 nilisoma Shule ya Sekondari Ngudu, Kwimba, Mwanza kama mwanafunzi wa Kutwa na baadaye nikajiunga na Shule ya Sekondari Nsumba, Mwanza kati ya mwaka 1995-1997.

"Kati ya mwaka 1998-2000 nilisoma masomo ya kidato cha tano na sita ya uchumi, jiografia na hesabu na kisha mwaka 2001-2003 nilijiunga na Chuo cha Sayansi Jamii Kivukoni, Dar es Salaam, sasa kikiitwa Kumbukumbu ya Mwalimu Julius Nyerere Kivukoni nikapata stashahada ya sayansi ya jamii,” anasema.

“Kivukoni nilisoma siasa, uchumi, saikolojia na uhusiano wa kimataifa. Mwaka 2003-2004 nikajiunga na Chuo cha Diplomasia cha Dar es Salaam kwa stashahada ya pili ya diplomasia na uhusiano wa kimataifa. Baada ya hapo nikaajiriwa kwa mara ya kwanza mwaka 2004 Makao Makuu ya CCM, Lumumba Ofisi Ndogo kama Katibu Msaidizi, Idara ya Mambo ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa chini ya Omar Mapuri, baadaye chini ya Dk Asha Rose Migiro na sasa chini ya Bernard Membe”.


Anasema alikuwa masomoni Chuo Kikuu cha Bangalore nchini India, kwa shahada ya kwanza ya saikolojia, habari na lugha (Kiingereza na Kifaransa) na matumizi ya kompyuta na ushauri nasaha kati ya mwaka 2005 na mapema mwaka huu.``

www.raiamwema.co.tz/news.php?d=225http://www.raiamwema.co.tz/news.php?d=225http://www.raiamwema.co.tz/news.php?d=225

kama hii ndiyo CV yake, bado hajafuzu viwango vya kupambana na binary digits. akasome tena au aache kulalama aendelee kula ugoro wa babu zake.
 
Nina swali dogo tu Taso,

Huyu mkulu alisoma shule gani hayo masomo ya kidato cha tano na sita??

Shule za msingi umetaja, sekondari (O Level) umetaja lakini high school umepiga kimya.

Hilo tu ndugu yangu, naomba mwongozo wako.

Duh, mkuu vitu vingine muwe mnakaushia kama alivyofanya, mnataka kijana wa watu aanze vibaya ofisini..!
 
Kama mwenyekiti wao wa Taifa alikuwa anamkimbia Dr Slaa kwenye midahalo, ndio zije kuwa hizi takataka zake? ni nani mwenye uwezo ndani ya ccm wa kujenga hoja na kuisimamia na kupanguo hoja? siongelei propaganda hapa, namaanisha facts. siku moja humu nilimuuliza swali mbunge wa ccm wa jimbo la nzega ndugu Kigwangallah ( maana binafsi siwezi kumuita binadamu mwenzangu mheshimiwa ) basi amein.gia mitini mpaka leo hajarudi humu na hakunijibu swali langu.
Tunamkaribisha sn japo nnaamini atakula kona Kama ilivyokuwa kwa Mwenyekiti wake Jk kumkimbia Slaa,unajua kaka kuuficha uongo ni kazi kubwa sn so ccm na vilaza wake wasijidanganye sn wakija huku watazidi kujichafua tu
 
kama hii ndiyo CV yake, bado hajafuzu viwango vya kupambana na binary digits. akasome tena au aache kulalama aendelee kula ugoro wa babu zake.

Akiwa na jitihada anaweza kusoma, lakini asijetuletea zile digirii za kutoka nanihii
 
mkuu wangu ee, angesoma angefaulu. Anayefaulu form six alichaguliwa kwenda chuo kikuu. Watoto wa vigogo kama yeye waliofaulu wakati huo walipelekwa urusi, china, ujerumani kusoma

Hivyo nakubaliana na wewe kwamba amekalia madawati muda mrefu

Nape hakufanikiwa kufaulu kidato cha IV, ndio maana hakuweza kuendelea hata na masomo ya Kidato cha Tano. Baada ya kuzurura sana mjini Singida kama mweneza injili kati ya mwaka 1998-1999, alisoma tuisheni ya PGM pale pale Singida na mwaka 2000 akaufanya mtihani wa kidato cha Sita na kupata daraja 0!

Baada ya hapo, ni sarakasi tu zilifanyika tukasikia yuko Chuo Cha Diplomasia, then Bangaloe.
 
Nape kwa nini hukusoma na Baba alikuwa na nafasi? Form 6 ulipata Division ngapi? MH Anza evening classes upate hata kabachelor.

Form six alifanya kama "Q-T" akapata division ziro! Nina uhakika hana hicho cheti. Sasa tutafakari, aliwezaje kupitia hapo Kivukoni na Kurasini? Kwa nini hakusoma? Nadhani kuna wakati mawasiliano yake na mzee hayakuwa kivile ( kumbuka ni mtoto wa majaribio enzi hizo Mzee akiwa Mkuu wa Mkoa wa Singida miaka ya mwishoni mwa 70!).

Alichojaliwa huyu dogo ni mdomo, ila nina uhakika ana kasi ya kusema kuliko kufikiri. Subirini mtaona.
 
Gurudumu, kwani Nape hakusoma? Jamiiforums tusiwe jamvi la waongo na wakuda.

``Nape alizaliwa Novemba 7, 1977 na kusoma Shule ya Msingi Mwanga, Nduguti, Iramba, Singida aliko babu yake kwa upande wa mama. Anasema Nape kuhusu kijiji alikozaliwa: “Ni kijiji ambacho kwa muda wote hakikuwa na umeme na nakumbuka hapa ndipo nilipoanza kusikia uchungu juu ya shida za Watanzania. Hiyo ilikuwa mwaka 1987 hadi mwaka 1989.

“Kisha nilihamia Shule ya Msingi Bukumbi ambako mama alikuwa akifundisha toka mwaka 1989-1993. Mwaka 1994-1995 nilisoma Shule ya Sekondari Ngudu, Kwimba, Mwanza kama mwanafunzi wa Kutwa na baadaye nikajiunga na Shule ya Sekondari Nsumba, Mwanza kati ya mwaka 1995-1997.

"Kati ya mwaka 1998-2000 nilisoma masomo ya kidato cha tano na sita ya uchumi, jiografia na hesabu na kisha mwaka 2001-2003 nilijiunga na Chuo cha Sayansi Jamii Kivukoni, Dar es Salaam, sasa kikiitwa Kumbukumbu ya Mwalimu Julius Nyerere Kivukoni nikapata stashahada ya sayansi ya jamii,” anasema.

“Kivukoni nilisoma siasa, uchumi, saikolojia na uhusiano wa kimataifa. Mwaka 2003-2004 nikajiunga na Chuo cha Diplomasia cha Dar es Salaam kwa stashahada ya pili ya diplomasia na uhusiano wa kimataifa. Baada ya hapo nikaajiriwa kwa mara ya kwanza mwaka 2004 Makao Makuu ya CCM, Lumumba Ofisi Ndogo kama Katibu Msaidizi, Idara ya Mambo ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa chini ya Omar Mapuri, baadaye chini ya Dk Asha Rose Migiro na sasa chini ya Bernard Membe”.

Anasema alikuwa masomoni Chuo Kikuu cha Bangalore nchini India, kwa shahada ya kwanza ya saikolojia, habari na lugha (Kiingereza na Kifaransa) na matumizi ya kompyuta na ushauri nasaha kati ya mwaka 2005 na mapema mwaka huu.``

www.raiamwema.co.tz/news.php?d=225

Hebu toa huu uchafu hapa JF..................hii ni CV au tope..............hebu toa hapa plz......mods chukueni hatua kwa uchafu huu....
 
Huyu si ndiyo Mwandishi wa wa katiba ya CCJ?

Duh, umemkweza mno mkuu. Nape hawezi hata kuanzisha thread Hapa JF. Anaweza tu kuongea mipasho Kama mkiti wake wa Taifa, siyo kusoma na kuandika
 
wewe nape kwanza ni kilaza mkubwa wewe mimi nimezaliwa 1987 ila nina bachelor tayari na nina soma masters wewe na siasa zako za kubebwa na hao wazee waliopitwa na wakati yaani siku CHADEMA tukishika nchi hii mtakula INDE ZENU
 
wewe nape kwanza ni kilaza mkubwa wewe mimi nimezaliwa 1987 ila nina bachelor tayari na nina soma masters wewe na siasa zako za kubebwa na hao wazee waliopitwa na wakati yaani siku CHADEMA tukishika nchi hii mtakula INDE ZENU

Digrii za viongozi wengi wa ccm zinawawezesha tu kuwa huko ccm
 
Back
Top Bottom