Nape Nnauye na Ugoro wa Babu

Wakuu, hilo la Nape kutokusoma nililitaja tu by the way. Elimu ya mtu ni muhimu, lakini siyo sana kwenye siasa za tz. Angalieni makada na viongozi wa vyama vingine pia. Lakini wanachapa kazi nzuri na wanakubalika kuliko hao wasomi wakuu.

Hasa mimi nilikusudia kujiuliza kama Nape atafanikiwa kutimiza malengo akiwa ndani ya kundi la wazee waliopitwa na wakati kwa kiasi kikubwa hivyo. Na kama kweli JK yuko serious kuunda timu kama hiyo eti kuleta mabadiliko tarajiwa, kama yapo
 
hajaenda shule huyu..............HANA SHAHADA HUYU, HUKO BANGALORE alienda kucheza tu............atajiju
 
Ukifuatilia mikutano yao kwenye tv, Nape na Januari vijana pekee kwenye hiyo timu, ingawa pia wanaongea pumba kuliko hao wazee.
 
wewe nape kwanza ni kilaza mkubwa wewe mimi nimezaliwa 1987 ila nina bachelor tayari na nina soma masters wewe na siasa zako za kubebwa na hao wazee waliopitwa na wakati yaani siku CHADEMA tukishika nchi hii mtakula INDE ZENU
Inawezekana kijana akawa kilaza kama unavyotaka kutuaminisha, ninaheshimu juhudi zake za kuyatafuta maarifa kwa nguvu kubwa na huu ni mfano bora kwa wengine ambao wamezaliwa 1987 na hawajaweza kuendelea na 'kusoma masters' kwa sababu wakikaa muda mrefu madarasani kulingana na uwezo wao.
Unaweza kuwa na uwezo wa kufaulu mitihani lakini maarfifa ukakosa na hiki ndo kinatusumbua wengi. Nape hata kama utamchukulia mtu kilaza lakini ni wakati wake wa kuonesha kuwa anaweza kuprove wrong thana za watu wa aina yako.
 
Nape ni mtuanayejaribu kuandika historia yake na wala si historia ya CCM. Kama yeye au mwingine yeyote anadhani kuwa Nape ataweza kufanya makubwa CCM anakosea. hii ni kwa sababu ingawa CCM imevua gamba internal characteristics ni zilezile. Mind set ya CCM ni ileile. Naiasa CCM isije ikajikuta imepanda mbegu ya kujiangamiza yenyewe kupitia kina Nape na wenzake.
Kina Nape wameelekeza makombora kuelekea maadui
walio ndani yao hivo wakati wanamlenga adii wanajilenga wao sawia
 
Back
Top Bottom