engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
jana ktk taarifa ya habari ya TBC saa mbili usiku nilimsikia kiongozi Nape Nnauye akiwaeleza waandishi wa habari kuwa,mpaka sasa viongozi wa CCM waliohama ni 6 tofauti na vyombo vya habari ama wajumbe humu JF wanavyotueleza
kama hili lina ukweli ni vyema kwa wale wenye data za uhakika juu ya idadi kamili ya viongozi wa ccm walio itikia slogan ya VUA GAMBA VAA GWANGA kwa majina tuwajue.