Mathias Byabato
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,020
- 691
Taarifa ni kuwa atakutana kwa faragha na vijana wa CCM wa wilaya hiyo ,kikubwa ni kuwa katika mji mdogo wa kyaka ambao ni mji wa wilaya hiyo kumekuwepo na ongezeko la vijana na makada wa CCM kujiunga CHADEMA na hivi karibuni serikali nzima ya kijiji iliyochaguliwa ni CDM.sasa anafika hapa kusafisha hali ya hewa.
Afya yangu si nzuri hivyo sikwenda huko kujua ataongea nini lakini waandishi wenzangu kadhaa wamekwEnda , hivyo nitwajuza kila kitu kupitia kwao.
lakini pia taarifa ni kwamba atawasili bk mjni kw ndege ya kukodi kutoka mwanza.
"...................."
Byabato
Afya yangu si nzuri hivyo sikwenda huko kujua ataongea nini lakini waandishi wenzangu kadhaa wamekwEnda , hivyo nitwajuza kila kitu kupitia kwao.
lakini pia taarifa ni kwamba atawasili bk mjni kw ndege ya kukodi kutoka mwanza.
"...................."
Byabato