pamoja kuwa Nape Nnauye aliahidi kuwa angeweka hadharani mpango wa CHADEMA kupokea pesa za misaada ktoka nje kwa siri,lakini baada ya kuhojiwa na kituo cha redio cha magic FM ameendeleza porojo;fuatilia hapa:Makutano Show: Nape Nnauye akielezea "Fedha Chafu" za CHADEMA - YouTube
imagine angepewa mchembaHuwa najiuliza sana sababu zilizopelekea kupewa hicho cheo, bado sijapata jibu.
Could it be kuna watu ndani ya CCM wanayo nia ya makusudi kabisa ya kuua chama? Hao watakuwa ni wanamapinduzi halisi. I salute them!
lakini huyu kijana nape anaona mbali, asili ya wachagga ni biashara, siasa na wao wapi na wapi?
imagine angepewa mchemba
rest in peace CCM!
Nape anasema muweke wazi waliochangia wanafanya kazi gani?
Hapo sasa!