Lokissa
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 7,446
- 2,490
Mungu ni mwema sana kawaweka watu watakaokichafua na kuhiharibu chama chao ili nchi ikombolowe
mfano Nape, hao mafisadi wanaoficha pesa nje, wabunge wala rushwa, wizi wa rasilimali nk
nape anafanya kazi nzuri sana za kukuzamisha chama nampa bigup
nashangaa mnaomshambulia badala ya kumsifu na kumshukuru Mungu kwa kutuwekea huyu mtu kama Nape.
mfano Nape, hao mafisadi wanaoficha pesa nje, wabunge wala rushwa, wizi wa rasilimali nk
nape anafanya kazi nzuri sana za kukuzamisha chama nampa bigup
nashangaa mnaomshambulia badala ya kumsifu na kumshukuru Mungu kwa kutuwekea huyu mtu kama Nape.