johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,976
Waziri wa Habari mh Nape amesema uamuzi wa bunge live ama la ni wa Bunge lenyewe na siyo la Serikali hivyo yeye yuko tayari kushirikiana na Bunge kama watahitaji kuwa live.
Nape amesema tena itapendeza kama Bunge live litaanzia kwenye Kamati za Bunge ambako ndiko maamuzi karibia yote hufanyika.
Nape amesema pale kwenye ukumbi wa Bunge wanakovaa suti na tai ni mbwembwe tu lakini maamuzi huwa yameshafikiwa kwenye vikao vya kamati.
Source: Clouds 360
Nape amesema tena itapendeza kama Bunge live litaanzia kwenye Kamati za Bunge ambako ndiko maamuzi karibia yote hufanyika.
Nape amesema pale kwenye ukumbi wa Bunge wanakovaa suti na tai ni mbwembwe tu lakini maamuzi huwa yameshafikiwa kwenye vikao vya kamati.
Source: Clouds 360