Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,149
- 162,560
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye, ametaki viongozi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC), wawajibishe kwa kuahirisha tarehe ya kufanyika kura ya maoni.
Nape ameituhumu NEC kwa kutumia fedha za umma kugharamia semina na vikao visivyoisha kwa ajili ya zoezi hilo na kwamba hawakusikiliza ushauri kuwa zoezi hilo lisingewezekana.
Chanzo:Mwananchi
My take:
Jaji Lubuva, maadamu Nape kaamua kamwaga mboga, basi nawe mwaga ugali ili kukuta mzizi wa fitina.
Nape ameituhumu NEC kwa kutumia fedha za umma kugharamia semina na vikao visivyoisha kwa ajili ya zoezi hilo na kwamba hawakusikiliza ushauri kuwa zoezi hilo lisingewezekana.
Chanzo:Mwananchi
My take:
Jaji Lubuva, maadamu Nape kaamua kamwaga mboga, basi nawe mwaga ugali ili kukuta mzizi wa fitina.