Nape: NEC wawajibishwe

Nape: NEC wawajibishwe

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
52,149
Reaction score
162,560
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye, ametaki viongozi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC), wawajibishe kwa kuahirisha tarehe ya kufanyika kura ya maoni.

Nape ameituhumu NEC kwa kutumia fedha za umma kugharamia semina na vikao visivyoisha kwa ajili ya zoezi hilo na kwamba hawakusikiliza ushauri kuwa zoezi hilo lisingewezekana.

Chanzo:Mwananchi

My take:
Jaji Lubuva, maadamu Nape kaamua kamwaga mboga, basi nawe mwaga ugali ili kukuta mzizi wa fitina.
 
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye, ametaki viongozi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC), wawajibishe kwa kuahirisha tarehe ya kufanyika kura ya maoni.

Nape ameituhumu NEC kwa kutumia fedha za umma kugharamia semina na vikao visivyoisha kwa ajili ya zoezi hilo na kwamba hawakusikiliza ushauri kuwa zoezi hilo lisingewezekana.

Chanzo:Mwananchi

My take:
Jaji Lubuva, maadamu Nape kaamua kamwaga mboga, basi nawe mwaga ugali ili kukuta mzizi wa fitina.

CCM hawana jipya ngoma imebumaaaaa
 
dah ina maana huyu hajui kuwa Mwenyekiti wa chama chake ndio alitutangazia akiwa China kuwa kura ya maoni ni tar 30!!!?
Hajui kwamba tume haijawahi tangaza kura ya maoni!

Labda angesema Kikwete ndio awajibishwe ningemuelewa kidogo...
 
Kweli Nepi ropo ropo! Alie wajibu kutangaza ni NEC, sasa alietangaza ni JK! Nani akemewe hapo?
 
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye, ametaki viongozi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC), wawajibishe kwa kuahirisha tarehe ya kufanyika kura ya maoni.

Nape ameituhumu NEC kwa kutumia fedha za umma kugharamia semina na vikao visivyoisha kwa ajili ya zoezi hilo na kwamba hawakusikiliza ushauri kuwa zoezi hilo lisingewezekana.

Chanzo:Mwananchi

My take:
Jaji Lubuva, maadamu Nape kaamua kamwaga mboga, basi nawe mwaga ugali ili kukuta mzizi wa fitina.

I knew Nape was low but never did i know he was that low. Nani wa kulaumiwa? Aliyetangaza tarehe ya kura ya maoni bila.connsultation au NEC? Nape, nafasi za ubunge zimekwisha. Tayari wametimia 10.
 
Anatafuta Mlango Wa kutokea. Anafikiri watanzania wajinga kiasi hivyo.
 
Halafu nani wa kuwawajibisha?? Hili ndilo swali la msingi!
 
Hivi Mirembe hawawezi ku-intervene kuoko jahazi?

Ma-Doctor wa Mirembe msikae tu ofisi kusubiri wagonjwa huku mitaani hali mbaya jamani!
 
Huyu Nape ni kijana mjinga kabisa (sijui amekula Maharagwe ya wapi huyu? - Gwajima 2015 🙂 anayebwabwaja saa hizi wakati kumekuchwa...

Hiyo tarehe ya April 30 mwenyekiti wake (ambaye amekosa busara na maono) katika mustakali mzima wa zoezi hili ndiye aliyekuwa ameishupalia. Na ilijulikana na kila kada katika nchi kuwa ni kitu ambacho hakitawezekana. Na mpaka wiki ya jana kabla JK kusafiri kwenda US amedai tarehe hiyo bado iko pale pale.

Tatizo hapa sio Lubuva au NEC (kwani NEC yenyewe sio tume huru) na kuwa machakato mzima umeshatekwa nyara (hijack) na CCM and the gangs. Matokeo yake kama tunavyoona ni kuwa 'maji yanashinda unga' wanasalimu amri kwa kufuata jambo ambalo walisha shauri kuwa haliwezekaniki.

Binafsi ningekuwa Lubuva ningewaachia tume yao kuondoka na heshima hata kama nina njaa kuliko kufanywa KIVUITI (refer Chairman of NEC Kenya the late Samuel Kivuiti in controversial Kenyan general election 2007).
 
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye, ametaki viongozi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC), wawajibishe kwa kuahirisha tarehe ya kufanyika kura ya maoni.

Nape ameituhumu NEC kwa kutumia fedha za umma kugharamia semina na vikao visivyoisha kwa ajili ya zoezi hilo na kwamba hawakusikiliza ushauri kuwa zoezi hilo lisingewezekana.

Chanzo:Mwananchi

My take:
Jaji Lubuva, maadamu Nape kaamua kamwaga mboga, basi nawe mwaga ugali ili kukuta mzizi wa fitina.
Labda hajui akisemacho lakini a nao waambIe wanajua. Pamoja na matatizo yake Tume hata siku moja hajatangaza siku ya kura ya maoni. Mzee alikataa kabisa kujiingiza. Tarehe yenyewe ilitangaziwa nje ya nchi na mtu ambaye kisheria hakupaswa kufanya hivyo. Kwa vile 'Tume ni huru', baada ya kushindikana wale wote waliokuwa wakishadidia tarehe hiyo walishindwa kusema wakawalazimisha mzee wa watu kutangaza kuahirishwa, bila kusema kuhairishwa huko ni mpaka lini! Kisha yanakuja maigizo ya Bw. Nape!
 
Awashutumu akina JK na Pinda waliomuahidi kumpa BVR machines 15000 mapema iwezekanavyo matokeo yake mpaka Leo wanapiga danadana!!!

Nape awe na adabu kwa watu wazima.
 
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye, ametaki viongozi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC), wawajibishe kwa kuahirisha tarehe ya kufanyika kura ya maoni.

Nape ameituhumu NEC kwa kutumia fedha za umma kugharamia semina na vikao visivyoisha kwa ajili ya zoezi hilo na kwamba hawakusikiliza ushauri kuwa zoezi hilo lisingewezekana.

Chanzo:Mwananchi

My take:
Jaji Lubuva, maadamu Nape kaamua kamwaga mboga, basi nawe mwaga ugali ili kukuta mzizi wa fitina.

Kwani ambaye hakusikiliza ushauri ni JK au Lubuva?
 
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye, ametaki viongozi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC), wawajibishe kwa kuahirisha tarehe ya kufanyika kura ya maoni.

Nape ameituhumu NEC kwa kutumia fedha za umma kugharamia semina na vikao visivyoisha kwa ajili ya zoezi hilo na kwamba hawakusikiliza ushauri kuwa zoezi hilo lisingewezekana.

Chanzo:Mwananchi

My take:
Jaji Lubuva, maadamu Nape kaamua kamwaga mboga, basi nawe mwaga ugali ili kukuta mzizi wa fitina.

Nape anaropoka. Hajui kuwa with that statement included are also Kikwete, Pinda and a string of his bosses!
 
Back
Top Bottom