Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,329
- 17,855
Hivi Mirembe hawawezi ku-intervene kuoko jahazi?
Ma-Doctor wa Mirembe msikae tu ofisi kusubiri wagonjwa huku mitaani hali mbaya jamani!
Hahahaa mkuu pale wamejaa labda tujenge hosp nyingine
Hivi Mirembe hawawezi ku-intervene kuoko jahazi?
Ma-Doctor wa Mirembe msikae tu ofisi kusubiri wagonjwa huku mitaani hali mbaya jamani!
Nape anaropoka. Hajui kuwa with that statement included are also Kikwete, Pinda and a string of his bosses!
Aliyetangaza tarehe ni JK sio Dr Slaa, so Nape ni kilaza kama JK
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye, ametaki viongozi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC), wawajibishe kwa kuahirisha tarehe ya kufanyika kura ya maoni.
Nape ameituhumu NEC kwa kutumia fedha za umma kugharamia semina na vikao visivyoisha kwa ajili ya zoezi hilo na kwamba hawakusikiliza ushauri kuwa zoezi hilo lisingewezekana.
Chanzo:Mwananchi
My take:
Jaji Lubuva, maadamu Nape kaamua kamwaga mboga, basi nawe mwaga ugali ili kukuta mzizi wa fitina.
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye, ametaki viongozi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC), wawajibishe kwa kuahirisha tarehe ya kufanyika kura ya maoni.
Nape ameituhumu NEC kwa kutumia fedha za umma kugharamia semina na vikao visivyoisha kwa ajili ya zoezi hilo na kwamba hawakusikiliza ushauri kuwa zoezi hilo lisingewezekana.
Chanzo:Mwananchi
My take:
Jaji Lubuva, maadamu Nape kaamua kamwaga mboga, basi nawe mwaga ugali ili kukuta mzizi wa fitina.