Nape na posho za Wabunge

Siasa ni tamu , siasa ni chungu.Wapo wabunge wako radhi kuondolewa posho kwani wana vianzio vingi vya mapato.Wako wabunge wengi vianzio ni haba lakini wapo tayari kuchangia maendeleo bila kufanya mbwebwe.Shida ni marupurupu ya wabunge au shida ni mfumo wa marupurupu ya wabunge?
 
Zitto unatushangaza sana kuhusu suala lako la Posho yako kupelekwa KDI. Kama wewe unadhamira njema na si kutafuta umaarufu na ghiliba kwa Watanzania kwa nini usingepeleka hoja binafsi ya kubadili sheria bungeni ili muifute? Sheria huvunjwa kwa kupeleka Mswada bungeni sasa kijana unategemea kweli utaivunja kwa kumwandikia spika barua au kwa kuongea mitaani na barabarani. Zitto kuwa makini katika hili watu wanaokuheshimu na kukuona wewe kama mtu makini wanakudharau.
Mzee umesahau kwamba kila hoja inayotolewa na cdm siku hizi inapingwa na Spika wa Magamba? Hebu tukumbushe suala la Waziri Mkuu, Pinda kulidanganya Bunge limefikia wapi? Hongera Zitto kwa kuonesha mfano wa kuigwa!
 
nimesoma Mpango wa maendeleo wa miaka mitano: "THE TANZANIA FIVE YEAR DEVELOPMENT PLAN 2011/12-2015/16".
nimevutiwa na kipengele hiki kizuri ukurasa wa 15:

On the expenditure side, containing Government expenditure will contribute towards ensuring that macroeconomic stability is maintained. This will require enhancing the expenditure control and accountability as well as ensuring value for money. One important area of expenditure is wages and salaries. Consolidation of most of the fringe benefits such as housing, transport and allowances into salaries and wages will be one of the ways of creating an appropriate incentive structure. Sitting and travelling allowances currently create a perverse incentive's structure, and will need to be rationalized or removed.

Najiuliza ina maana Mustafa Mkullo na ofisi ya bunge hawajui kwa undani mpango huu na mikakati iliyomo ndani yake. kama Mkullo anajua kwa nini anasema posho zitaendelea kutolewa. anataka kutuambia kilichomo kwenye mpango huo ni kiini macho. au mpango umeandaliwa ili kukidhi matakwa ya wahisani kumbe hatuna utashi wa kisiasa.



Nawapongeza chama cha chadema (wakiongozwa na Zitto Kabwe) kuanza kutekeleza kwa vitendo mpango huu ambao ni brand new. Hongera sana CHADEMA.

jamani mimi naendelea kujiuliza kwa nini serikali inapingana na maandiko yake yenyewe..... ukisoma paragraph hapo juu utaona kwamba suala la sitting allowance linatakiwa liondolewe.. sasa kwa nini Mkullo ang'anganie!!.
 
uyu nape anashindwa kutofautisha kati ya mimba na kitambi. sijui kama anaweza kuogoza ata familia yake uyu kwa umakini si dhani kwa pointi kama izi.uogozi uazia ndani uyu karuka step 1 atamgalim
 
Re: Nape na posho za Wabunge
uyu nape anashindwa kutofautisha kati ya mimba na kitambi. sijui kama anaweza kuogoza ata familia yake uyu kwa umakini si dhani kwa pointi kama izi.uogozi uazia ndani uyu karuka step 1 atamgalim​
 
jamani mimi naendelea kujiuliza kwa nini serikali inapingana na maandiko yake yenyewe..... ukisoma paragraph hapo juu utaona kwamba suala la sitting allowance linatakiwa liondolewe.. sasa kwa nini Mkullo ang'anganie!!.


Yaeh kanyagio bila utafiti kweli hakuna haki ya kusema!! true that!!
 
safi sana vijana inaelekea mnaanza kuwa na akili kidogo. sasa nataka muendelee kujadili kama kweli wanauchungu na hizo pesa kwa nini wawe na uchungu na hizi na wasiwe na uchungu na milioni 7 isiyotozwa kodi wanayomlipa Slaa. Acheni kuwa makasuku hapa hakuna nia yeyote njema zaidi ya kutaka umaarufu. lakini kwa miaka hii yote mitano iliyopita alipokea. Amekumbuka nini mwaka huu? I know Zitto vizuri toka nikiwa naye UDSM. He is the same hajabadilika ila kwa ninyi msiomfahamu endeleeni kula chaka.

Wewe Achebe yaelekea ni mbumbumbu mzungu wa reli! CDM wametoa stastics (takwimu) kwamba serikali ikiondoa sitting allowance itaweza kuokoa Tsh 900 bilioni, @ year. Je wewe umeona hizo ni pesa kidogo ukilinganisha na posho ya Dr. Slaa 7 milion@month. BTW, hapa tuongelea issues, sio person (simple minded people discuss .....).

Halafu NCCR na dira ya maendeleo ya Taifa ya miaka 5 wamependekeza posho zote including hiyo ya Dr. Slaa, ya JK, Mawaziri, wabunge, katibu wakuu etc ziwe consolidated to salary ili zikatwe kodi. kama Serikali ikikubari maombi ya NCCR na Dira yake ya maendeleo hiyo posho ya Dr. Slaa hata ya JK itakatwa kodi. At least tunafahamu posho anayopokea Dr. Slaa, je wewe unafahamu posho anayopokea JK @ mwezi let alone his salary? kama suala ni wingi wa posho tuongelee posho ya JK kwanza kabla ya Dr. Slaa.

Nina wasiwasi kama UDSM kweli wewe ulikuwa mwanafunzi, ninafikiri ulikuwa mhudumu carfeteria. Mtu aliyesoma UDSM hawezi kuwa na point shallow kama hivi, unless UDSM have gonne a drastic change now it is no longer "chachu ya fikra pevu" kama enzi zetu za late 80's and early 90's
 
Tumejadli mengi lakini hili la walim linasikitisha yaani wanaplay big role lakini wanadhoofishwa kimalipo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Tunaomba wabunge MAKINI wa CDM mmbane Mkulo na serikali yake ya mafisadi. Kama dira ya maendelea ya miaka mitano iliyosomwa na Wassira inaelekeza kuondoa sitting allowance, travelling allowance kwanini Mkulo anisita kuzindoa hizo allowances?. Utakelezaji wa dira hiyo unaanza ktka budget 2011/2012 hadi 2016/2017.

Je tukisema budget hiyo inatupa matumaini hewa tunakosea. Wanachokisema (serikali) sio wanacho kitenda. Je kuna uhalali gani wa kuendelea kutuongoza?
 
Back
Top Bottom