Kama Katibu wa Itikadi na Unezi CCM Taifa!Nimemuona Nnape kwenye ITV akiongelea posho za wabunge. Nashindwa kuelewa anaongelea kuhusu posho za wabunge akitumia wadhifa upi?
unashauri nini na katika lipi? Umakini gani unaoutaka?Tukiwa tunaanzisha thread, tuwe makini na headings zetu.Ni ushauri tu.