Feedback
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 7,988
- 4,507
Ile nguvu ya Nape aliyoanza nayo mara baada ya kuchaguliwa kuwa katibu mwenezi wa CCM inazidi kufifia siku hadi siku, tuliambiwa atakapomaliza kufanya maandamano na mikutano mkoa wa Kilimanjaro atahamishia majeshi yake mkoa wa Arusha nashangaa hadi leo sijasikia kama yuko Arusha ama la mwenye taarifa yake tafadhali.