tatanyengo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2011
- 1,134
- 280
jipe moyo.chadema itaongeza wabunge lakini sio ikulu
Unaelewa vizuri kitakachotokea kama wabunge wa vyama vya upinzani watakuwa wengi kuliko wa chama chenye Rais?
jipe moyo.chadema itaongeza wabunge lakini sio ikulu
anadadavua anatokwa povu?katibu mwenezi wa ccm nape nnauye yuko live star tv anadadavua kwa makini taratibu za uchaguzi ndani ya ccm.
Katibu mwenezi wa CCM Nape Nnauye yuko live Star tv anadadavua kwa makini taratibu za uchaguzi ndani ya CCM.
nape kuna tetesi zinasema mwenyekiti wa uvccm lazima atoke zanzibar je kanuni za uchaguzi sinasemaje?
Amesema wanajipanga kwa umakini wasije kuanguka 2014 & 2015 halafu wawe wapiga kelele!!!
Kuna mchangiaji mmoja (Ruhuza) kamtahadharisha wajitahidi kurudisha vijana chamani maana kiuhalisia asilimia kubwa sana wamekimbilia CDM.....jambo ambalo mwenzake (katibu wa ccm Kinondoni) kalipinga kwa nguvu akidai yeye anafahamu hali halisi mitaani kwamba vijana karibu wote bado ni ccm!!! Maajabu ccm hayaishi