Nape, kweli maisha bila unafiki hayaendi

Nape, kweli maisha bila unafiki hayaendi

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
26,534
Reaction score
61,965
Haya matamko wanayotoa hawa viongozi wa CCM kwa siku za karibuni hasa mara baada ya tarehe 17 march yamenifanya nikumbuke riwaya maarufu ya Usiku utakapokwisha ya kwake mwandishi Mbunda Msokile.

Ama kweli maisha bila unafki hayaendi, kutoka kuzima Bunge live mpaka kulilia haki, nauliza tuu, Mh. Nape amepatwa na nini?

Adjustments.jpg
 
Sio unafiki mzee. Unavojudge kitu usiegemee upande mmoja.

Kila mtu anaujua udhalimu wa iliyokua serikali ya Marehemu[emoji3]

Unachokiona saiv ndo uhalisia wa kila kitu yaani saiv tupo Normal.

Kabla ya hapo tulikua abnormal. Sasa kama yeye mwenyewe alitishiwa bastola na hakuna aliyefuatilia kwanini saivi asimwage sumu?

Halafu huo unafiki ni nini?

Saiv ni uhalisia zama Za unafiki zilizikwa kule Python na mwendazake.
 
Mpaka TEUZI ziishe tutasikia mengi sana. Huyu bwana mwanzoni nilidhani ni Mwanaume kumbe siyo.

Angekuwa Mwanaume haya yote angeyasema wakati wa uhai wa CHUMA.

Mwanaume mzima unasubiri mtu aingie kaburini ndo uanze kumpiga mawe. Huu nao ni UBOYA tu.
 
Haya matamko wanayotoa hawa viongozi wa CCM kwa siku za karibuni hasa mara baada ya tarehe 17 march yamenifanya nikumbuke riwaya maarufu ya Usiku utakapokwisha ya kwake mwandishi Mbunda Msokile.

Ama kweli maisha bila unafki hayaendi, kutoka kuzima Bunge live mpaka kulilia haki, nauliza tuu, Mh. Nape amepatwa na nini?

Wakiwa nje ya mfumo hua wanakua na akili,ngoja waupate huo uwaziri sasa akili zote zinahamia tumboni
 
Back
Top Bottom