Nape analipwa kwa kazi hiyo ya kupayupa kila apatapo nafasi, sasa kumwambia eti anyamaze ni kutaka mwenzenu afe njaa.......na ni nani aliwaambia huko CCM kuna kuheshimiana siku hz, wangekuwa na heshima hiyo kamati ya maadili ingeshamuita yule jamaa aliyempiga mzee wetu kwa sababu ya ufafanuzi wa rasimu.