Namsikia sasa hv kwenye redio ya wafu, eti anasema wanaoandamana kusini ni WAHUNI na WAHALIFU. Wamedandia suala lisilowahusu.
Ngoja niulize, kuna mkazi wa Mwanza anaandamana Kusini? Wakazi wa Iringa, Mbeya, Morogoro je?Nao wanaandamana kusini?
So wananchi wa Mtwara kudai haki ya gesi yao ni kudandia lisilowahusu?
Huyu Nape Akapimwe Akili, Si Bure, Ana Mdudu Huyu.
Nyerere Angefufuka Leo ...
Bora ya ukatili wa Idd Amin, kuliko hawa wanaoitwa viongozi wetu.
Sasa yeye anaongelea hayo mambo akiwa kwenye radio ya WAFU, aende Kusini na Jangili Kinana kutekeleza Ilani ya chama chake. Wananchi kule wanadai Ilani inasema watajemgewa mtambo wa kuzalisha umeme MW300 na viwanda mbalimbali na Bandari kupanuliwa kuifanya MTWARA CORRIDOR kuwa ukanda wa Kiuchumi.
Nape na Kinana na NChemba mmezunguka kila sehem nchini kusimamia utekelezaji wa ILANI, sasa ni wakati muafaka wa nyie kwenda Mtwara na sio kuongelea redioni. Nendeni mkasikilize hoja kutoka kwa wananchi nyie CCM, mnaogopa nini?? Nendeni mkajibu hoja sio kuleta viroja. Wananchi wanasema kwenye huu mradi kuna ufisadi na mmeongeza cha juu, Nape nenda kusini kawaambie wananchi kuwa hakuna kilichoongezwa. Wanasema Bandari imehamishiwa Bagamoyo, nenda kusini kawaambie haijahamishwa. Nape usilete janja ya Mbuni kuficha kichwa huku masaburi yote yako nje, nenda Mtwara kaongee na wananchi, jibuni hoja zao na muwaelimishe wajue watanufaika vipi na gesi
Acha kupotosha watu kenge wewe...Nape kasema na kwenye wall yake ya fb kaweka kuwa wanakusini wanahoja ya msingi. isipokuwa wanaochoma nyumba na kuharibu mali za watu na umma ni wahalifu
Akili anayo ila ameamua kujitoa ufahamu makusudi ili awatukane wana kusini, sipati picha vurugu za Masasi angekuwa bado mkuu wa wilaya pale, ambacho kingemkuta sijui!??, afu huyu dogo ana matusi mno sijui ndo siasa au!!!!!???
Acha kupotosha watu kenge wewe...Nape kasema na kwenye wall yake ya fb kaweka kuwa wanakusini wanahoja ya msingi. isipokuwa wanaochoma nyumba na kuharibu mali za watu na umma ni wahalifu
Sasa mbona unamtukana aliyesikiliza radioni bila wewe kusema redioni kaongea nini? Kwani hawezi kuandika kitu kingine kwenye wall na kuongea kitu kingine redioni?. Kwa taarifa yako wewe ndio umeonekana Kenge, tena Kenge Mu Maji
Acha kupotosha watu kenge wewe...Nape kasema na kwenye wall yake ya fb kaweka kuwa wanakusini wanahoja ya msingi. isipokuwa wanaochoma nyumba na kuharibu mali za watu na umma ni wahalifu
Akili anayo ila ameamua kujitoa ufahamu makusudi ili awatukane wana kusini, sipati picha vurugu za Masasi angekuwa bado mkuu wa wilaya pale, ambacho kingemkuta sijui!??, afu huyu dogo ana matusi mno sijui ndo siasa au!!!!!???