Nape kauli yako hii siyo kweli!

Nape kauli yako hii siyo kweli!

Acha kupotosha watu...Nape kasema na kwenye wall yake ya fb kaweka kuwa wanakusini wanahoja ya msingi. isipokuwa wanaochoma nyumba na kuharibu mali za watu na umma ni wahalifu

Huo uhuni waachieni waufanye, wamechoshwa na maigizo ya viongozi wetu. Nawaunga mkono.
 
Ukiwa chama hcho inabidi uache kufikiri ili mambo yako yaende
 
Back
Top Bottom