ITV katika taarifa ya habari jana saa 2 usiku.wameonyesha wenyeviti wa kijiji wa ccm akikiri kwamba M4C inawapa wakati mguu na kushindwa kuongozo.NAPE KANUSHA AU UNASEMAJE KWA HII?
Wapi huko mkuu? Hata kama ni kweli, huyo Nape hawezi kukanusha kuhusu hao wenyeviti ila atakanusha huu uzi wako!
Bwana mdogo usijifanye hujui alipo, kwani mama yako anakuletea chakula bila kukwambia kakitoa wapi?ivi yule meya wa jiji la mwanza kupitia chadomo alieng'olewa kwa ufisadi yuko wapi saivi.