and 998 others
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 27,921
- 39,103
Pamoja na kulipwa MAFAO ya ubunge takribani 600m TZS kila Mheshimiwa iweje hamkuchukua tena Fomu za kuomba uteuzi wa Chama Chetu? Au mmeamua kustaafu na Dr Majaliwa?
Sio kila aliyechukuwa aliripotiwa na vyombo vya habari. Subiri taarifa rasmi ya CCM kuhusu waliopita na walioenguliwa.Pamoja na kulipwa MAFAO ya ubunge takribani 600m TZS kila Mheshimiwa iweje hamkuchukua tena Fomu za kuomba uteuzi wa Chama Chetu? Au mmeamua kustaafu na Dr Majaliwa?
KweliSio kila aliyechukuwa aliripotiwa na vyombo vya habari. Subiri taarifa rasmi ya CCM kuhusu waliopita na walioenguliwa.
Kwa status za waliotajwa si rahisi kuchukua Fomu na isijulikane. Tofauti na mdada kama wewe ulienda kuchukua Fomu hakuna anayekujua ukiacha danga lakoSio kila aliyechukuwa aliripotiwa na vyombo vya habari. Subiri taarifa rasmi ya CCM kuhusu waliopita na walioenguliwa.
Mimi ni kidume na danga langu ni mamaako. Kama unabisha ebu mpigie simu sasa hivi halafu uone kama sijapokea na nikipokea maneno ya kwanza nitayokwambia ni "Unasemaje sasa nipo na danga langu"! Piga sasa kama huamini! Nyambafu!!Kwa status za waliotajwa si rahisi kuchukua Fomu na isijulikane. Tofauti na mdada kama wewe ulienda kuchukua Fomu hakuna anayekujua ukiacha danga lako
Haki ya kikatiba sio tu kuchukua na kurudisha form ya kugombea, hata kutochukua form ni haki ya kikatiba.Pamoja na kulipwa MAFAO ya ubunge takribani 600m TZS kila Mheshimiwa iweje hamkuchukua tena Fomu za kuomba uteuzi wa Chama Chetu? Au mmeamua kustaafu na Dr Majaliwa?
Makamba kachukua, nipo huku bumbuli, hakutaka mwandishi hata mmoja, hao wengine sijuiKwa status za waliotajwa si rahisi kuchukua Fomu na isijulikane. Tofauti na mdada kama wewe ulienda kuchukua Fomu hakuna anayekujua ukiacha danga lako
Wewe umechukua au kazi yako kulalamika tu humu for nothingIanzishwe na mada wadau wangapi wa jukwaa la siasa wamechukua.
Au ni spectators and committed ‘arm chair critics’ wa kudumu
Kazi yetu kulumbana tu humu for nothing
Itamsaidia kwa kiasi, kama kweli anayo nia ya kuwa mwanasiasa wa kuheshimika huko mbeleni.Halima Mdee ameogopa kujiunga na CHAUMWA ili asije kuumwa, hivyo kaamua asubiri reforms.
Kidume unakuwa lia lia CHAWA pro max au kidume gashoMimi ni kidume na danga langu ni mamaako. Kama unabisha ebu mpigie simu sasa hivi halafu uone kama sijapokea na nikipokea maneno ya kwanza nitayokwambia ni "Unasemaje sasa nipo na danga langu"! Piga sasa kama huamini! Nyambafu!!
Muongo huyo.EM 600? DUH
Wapo bench a.k.a mbao ndefu.Pamoja na kulipwa MAFAO ya ubunge takribani 600m TZS kila Mheshimiwa iweje hamkuchukua tena Fomu za kuomba uteuzi wa Chama Chetu? Au mmeamua kustaafu na Dr Majaliwa?