Nape hoi jimboni Mtama

Nape hoi jimboni Mtama

Nape alikosea sana kuleta misifa nchini. Asipate tu. Maana hakuna namna sasa
 
Kufuatia kampeini zilizofanywa na mgombea urais kupitia cdm/ukawa jimboni mtama wananchi wa jimbo la mtama wameamua kwa wingi wao kujiunga vyama vinavyounda ukawa na kumuacha nape akihutubia viongozi wa ccm tu kila mkutano na wana mtama wameahidi kumchagua mgombea wa ukawa kwa kura za kimbunga.

Rushia picha za mikutano ya nape na mpinzani wake tuzione.
 
Kufuatia kampeini zilizofanywa na mgombea urais kupitia cdm/ukawa jimboni mtama wananchi wa jimbo la mtama wameamua kwa wingi wao kujiunga vyama vinavyounda ukawa na kumuacha nape akihutubia viongozi wa ccm tu kila mkutano na wana mtama wameahidi kumchagua mgombea wa ukawa kwa kura za kimbunga.

Ni mikutano gani ambayo amefanya Nape..? Ni kijiji au sehemu gani Nape amefanya mkutano wakahudhuria viongozi tu..?
 
Ni mikutano gani ambayo amefanya Nape..? Ni kijiji au sehemu gani Nape amefanya mkutano wakahudhuria viongozi tu..?

Kwani nape anagombea jimbo gani
 
Opinion polling for Tanzania General Presidential Election 2015
Mh. Dr. John Pombe Magufuli (CCM)
16.8% 2449
Mh. Edward Lowassa (CHADEMA)
81.9% 11961
Other 1.4% 199
Total Vote 14609
- See more at: VOTE ONLINE FOR TANZANIA PRESIDENT | #VOTE4TPO | Mayocoo , Special Voting portal
we subiri october 25
 
Tumeshakuwa kama wapiga lamli tusubiri uchanguzi ufanyike ndo tutabishana kwa hoja tusitegemee huu utabiri wa nyota.
 
Tar 25 oct mtakimbia humu kama ileeee tatu bila...mmesahauu wekeni akiba ya maneno
 
Back
Top Bottom