Nape anataka ubunge ili akaongee nini huko bungeni?
Mkuu huyu ajiandae kufufua ccj yake
Picha ipi kama hii?
Kufuatia kampeini zilizofanywa na mgombea urais kupitia cdm/ukawa jimboni mtama wananchi wa jimbo la mtama wameamua kwa wingi wao kujiunga vyama vinavyounda ukawa na kumuacha nape akihutubia viongozi wa ccm tu kila mkutano na wana mtama wameahidi kumchagua mgombea wa ukawa kwa kura za kimbunga.
Kufuatia kampeini zilizofanywa na mgombea urais kupitia cdm/ukawa jimboni mtama wananchi wa jimbo la mtama wameamua kwa wingi wao kujiunga vyama vinavyounda ukawa na kumuacha nape akihutubia viongozi wa ccm tu kila mkutano na wana mtama wameahidi kumchagua mgombea wa ukawa kwa kura za kimbunga.
we subiri october 25Opinion polling for Tanzania General Presidential Election 2015
Mh. Dr. John Pombe Magufuli (CCM)
16.8% 2449
Mh. Edward Lowassa (CHADEMA)
81.9% 11961
Other 1.4% 199
Total Vote 14609
- See more at: VOTE ONLINE FOR TANZANIA PRESIDENT | #VOTE4TPO | Mayocoo , Special Voting portal