[FONT=courier
new]Katibu Mwenezi na Itikadi wa CCM, NAPE NAUYE,
amesema kwamba Chama cha Demokrasia na Maendeleo [CHADEMA] kimefilisika
kisera,na badala yake kimebakia kuwa chama cha Wanaharakati!
Hivyo aliishauri CHADEMA, kuachana na Siasa hizo za Kiharakati!!
[/FONT]
Source: Gazeti la Mtanzania