Nape: CCM itashinda tu uchaguzi mkuu ujao hata kwa goli la mkono

sometimes ni vigumu kuwaelewa wapinzani wa Tanzania,kwa kuwa kabla ya yote tulijua licha ya kushindwa kwa katiba ya ccm walau kungekuwa na tume huru,tuwaelewaje nyie ukawa.

hata mi nawalaumu ukawa na upinzani kwa ujumla wapo kama vile hawapo wamepokea 230m wamegeuka viziwi na mabubu ghafla ila najaribu kujiaminisha ukimya wao wanautumia kupanga mashambulizi mazito kama walivyosema wahenga kimya kikuu kina mshindo mkuu
 
anaedhani CCM wanatania asubiri OCTOBER ataona GOLI LA MKONO.''kizazi cha .comHatubiri kupewa eemwaka huu wamo wamo eeemguu mbele mguu nyumahatusubiri kupewaeee Zanzibar tunachukuwa''
 
Huu ni ukweli mchungu sana. ccm ndio chama kinachoongelewa sana na wananchi kuwa na wagombea urais wanaopimika, wanaoweza kuongoza nchi, wenye record safi na wenye uzalendo na mapenzi kwa tanzania.

in fact wapinzani ni wasindikizaji.
 
Ndio maana unakibamia..

Huu ni ukweli mchungu sana. ccm ndio chama kinachoongelewa sana na wananchi kuwa na wagombea urais wanaopimika, wanaoweza kuongoza nchi, wenye record safi na wenye uzalendo na mapenzi kwa tanzania.

in fact wapinzani ni wasindikizaji.
 
Hiyo ni kauli ya katibu mwenezi wa Ccm Nape aliitoa alipokuwa akiwahutubia wananchi wa sengerema na kunukuliwa na Gazeti la Mwananchi la Juni 23/2015
Hizi kauli za nape ni kauli za kibabe na zakichonganishi,Inawezekanaje kama unajiamini na unaamini wananchi wanakikubali chama chako uingie kwenye uchaguzi utarajie ushindi wa dhuluma.
Ccm kwenye uchaguzi huu wa 2015 ni kuwa nao makini,La sivyo wataliingiza taifa kwenye machafuko yasiokuwa ya lazima maana washaonyesha kutokubali kuachia madaraka hata wakishindwa kwenye sanduku la kura.
Kwa kauli ya Nape ni kuwa ccm wapo tayari kushinda uchaguzi mkuu kwa rafu bila kuheshimu maamuzi ya wapiga kura hata ukawa hatuko tayari kulinda ufedhuli huo.
Wakishinda kwa goli la mkono,Ukawa tutakata rufaa kwa wananchi.Kwasababu tunaamini nguvu ya uma na haki sawa kwa wote.
 
Hii ni dalili kuwa mechi itakuwa ngumu sana kwa CCM.Refa atakuwa mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi ndipo atakapopeta japo kaona goli la mkono.
 
Nape ICC siyo mbali,
na mahakama ya Arusha bado wanatafuta kazi za kufanya.
Wafahamishe na green guard mapema.
 
Huyu vuvuzela atakuwa ameona kanda ya ziwa mwaka huu hawana chao!

Mkuu kama refa (Nec)Watashindwa kutenda haki kwenye mchezo hata Ukawa rafu tunaziweza,Tutafunga na sisi magoli ya dhuluma pia.
 
hakuna mahali popote katika dunia hii ambapo dhuluma iliwahi kushinda haki , Nape nakuhakikishia utakuja kula haya maneno .
 
Hiyo ni kauli ya katibu mwenezi wa Ccm Nape aliitoa alipokuwa akiwahutubia wananchi wa sengerema na kunukuliwa na Gazeti la Mwananchi la Juni 23/2015
Hizi kauli za nape ni kauli za kibabe na zakichonganishi,Inawezekanaje kama unajiamini na unaamini wananchi wanakikubali chama chako uingie kwenye uchaguzi utarajie ushindi wa dhuluma.
Ccm kwenye uchaguzi huu wa 2015 ni kuwa nao makini,La sivyo wataliingiza taifa kwenye machafuko yasiokuwa ya lazima maana washaonyesha kutokubali kuachia madaraka hata wakishindwa kwenye sanduku la kura.
Kwa kauli ya Nape ni kuwa ccm wapo tayari kushinda uchaguzi mkuu kwa rafu bila kuheshimu maamuzi ya wapiga kura hata ukawa hatuko tayari kulinda ufedhuli huo.
Wakishinda kwa goli la mkono,Ukawa tutakata rufaa kwa wananchi.Kwasababu tunaamini nguvu ya uma na haki sawa kwa wote.

Nape Nnauye ni mropokaji mkubwa...kauli zake zinapaswa kupuuzwa kama vile kauli za mwendawazimu zinavyopuuzwa na watu wenye akili timamu.
 
Last edited by a moderator:
Achana naye mhuni huyo yupo kudivert attention za watu.............Avue kwanza gamba la lowasa na mafisadi wenzake
 
Huyo Nape anataka.kufananisha magoli yao ya 'mikono' wanayoyafunga kwenye chaguzi mbalimbali tokea mfumo wa vyama vingi urejee nchini mwaka 1995 na goli la mkono alilofunga Maradona kwenye kombe la Dunia mwaka 1986?

Kiuhalisia atakuwa hayuko sahihi kwa kuwa goli la mkono alilofunga Maradona nyakati hizo ni kweli upo uwezekano wa refa 'alighafilika' na hakuliona bao hilo.

Tofauti ya goli hilo la Maradona na magoli ya 'mikono' wanayofunga CCM ni kuwa magoli ya mikono yanayofungwa na CCM huwa yanakuwa na 'blessings' za refa ambaye ni Tume ya uchaguzi na ndiyo maana Nape anakuwa na over confidence kuwa by hooks or crooks ni lazima chama chake cha.magamba ndicho kitakachoibuka washindi kwenye uchaguzi mkuu mwezi Oktoba mwaka huu!
 
Binafsi nikiwa kama mwanachama wa CCM nimesikitishwa sana na kauli ya Nape Nnauye jana akiwa wilayani Sengerema,
"CCM itaingia ikulu hata kwa goli la mkono".
Hii inamaana CCM inawaandaa watanzania kipsychology kuwa tuko tayari kufanya any illegal act ili mradi twende ikulu.
Tuko tayari kuiba kura, tuko tayari kuandikisha watu majina hewa kama ya waliofariki, n.k

Nape aliendelea kusema goli ni goli ilimradi Referee hajaona
Kwana ninaamini CCM kama chama hakina sera ya kushinda kwa goli la mkono na hii ni agenda ya Nape binafsi na huenda aliisema ili kuendeleza harakati zake binafsi za kumuattack mtanzania fulani aliyechukua form ya kuwania nafasi ya Urais kupitia chama chetu.
Nape kama kiongozi mkubwa wa chama amekuwa akijikita kwenye kukibomoa na kukipasua chama kila siku kutokana na MIHEMKO yake na siasa za makundi alizojiingiza.
Kidumu chama cha Mapinduzi, Ushindi wa Maafuriko bila Magoli ya Mkono.

10455149_1133117836718078_7494483954273487285_n.jpg
 
Back
Top Bottom