Ni vigumu kushawishika kuwa hii forum ni ya great thinkers..,nilijaribu kuifatilia hii post na comments zilizofata.,nimeweza kugundua kuwa walio wengi ambao wanachangia hawana hoja za msingi bali hisia za chuki na ukaidi..,hakuna comments isipokuwa moja tu ambayo imejaribu kuainisha majibu ambayo at least yanaleta sense.,hii inanipa picha kuwa tunawanamipasho zaidi humu ndani kuliko wajenga hoja...!