Nape azungumzia Harambee ya CHADEMA, wamjibu na kusema kakurupuka!

Haijalishi ni gharama ya aina gani itatumika kuitoa ccm madarakani, hata kama ni kwa kumwaga damu watanzania tupo tayari, kani ccm wameisha mwaga damu nyingi ya watazania, hata kama ni kwa wizi, misaada ya fedha na silaha toka nje, mikataba ya misaada mibovu, hata kwa kugawa rasilimali zetu, kwani yote haya ndiyo ccm inayafanya na kuyatumia kuendelea kuwahadaaa na kuwaibia watanzania na kubaki madarakani. HAIJALISHI NI AINA GANI YA GHARAMA ITATUMUIKA KUWAFUTILIA MBALI CCM KUONDOKA WATAZANIA TUPO TAYARI, HATA KAMA NI KWA KUUZA SERENGETI NA MLIMA KILIMANJARO TUPO TAYARI, HATA KWA KUGAWA BRE GESI YETU, TUPO TAYARI, NO MATTER WHAT, THIS IS THE TIME FOR CCM TO GO TO HELL. TUMECHOKA NA HAYA MAJIZI, WAUAJI, WAHADAAJI, WAONGO, WAZINZI, WANAFIKI WAZANDIKI. TUPO TAYARI KWA GHARAMA YEYOTE ILE.
 
Kuendelea kumjibu Nape ni kupoteza mda tu, yeye anataka awatoe kwenye mambo ya msingi mhangaike na huo uharo wake, na kwakweli ndiyo muone kama CCM ina mtu kama Nape ni heri hiyo nafasi angeachiwa tu Tambwe Hiza
 
No matter what??!! Haijalishi ni gharama ya aina gani itatumika kuitoa ccm madarakani, hata kama ni kwa kumwaga damu watanzania tupo tayari, kwani ccm wameisha mwaga damu nyingi ya watanzania, hata kama ni kwa wizi, misaada ya fedha na silaha toka nje, mikataba ya misaada mibovu, hata kwa kugawa rasilimali zetu BURE, kwani yote haya ndiyo ccm inayafanya na kuyatumia kuendelea kuwahadaaa na kuwaibia watanzania na kubaki madarakani. HAIJALISHI NI AINA GANI YA GHARAMA ITATUMUIKA KUWAFUTILIA MBALI CCM KUONDOKA WATAZANIA TUPO TAYARI, HATA KAMA NI KWA KUUZA SERENGETI NA MLIMA KILIMANJARO TUPO TAYARI, HATA KWA KUGAWA BURE GESI YETU, TUPO TAYARI, NO MATTER WHAT, THIS IS THE TIME FOR CCM TO GO TO HELL. TUMECHOKA NA HAYA MAJIZI, WAUAJI, WAHADAAJI, WAONGO, WAZINZI, WANAFIKI WAZANDIKI. TUPO TAYARI KWA GHARAMA YEYOTE ILE.
 
Kijana aina ya Nape ni janga la kitaifa, ukishaona kijana anakuwa na akili za kizee kama alivyo huyu mpaka mkorogo Nape basi ujue akiwa mzee lazima ztakuwa mchawi.Propaganda za Nape ni za kizamani mno na za kipuuzi kabisa, ni mataahira tu ndiyo wanaweza kuamini upuuzi huu.
 
Nape sio tu kuwa ni mnafiki bali ni janga katika kundi la vijana. Haiingii akilini yeye kuongea viti visivyo kuwa na kichwa wala miguu halafu huyohuyo ategemewe kutoa bold statement za chama. Ujinga mtupu kwa wanao muamini.
ninachojiuliza ni kuwa hiki chama kina wanachama wangapi na imekuwaje mpaka huyu bwana ndiye ameonekana kufaa katika nafasi hii, hata wasiokipenda hiki chama bado wangetaka kiwe chama cha upinzani chenye nguvu na wasemaji wenye nguvu pia

 
we vuvuzele angalia na vya kuongele ina maana watu wanavochanga pale haukuona bac kama vp? Nenda mtandao uoneni jinsi mchango ulivotembea mpaka milin 323 sawa?
ACHA KUKULUPUKA!
 
Nilimwona Mbowe na makamanda wake vijana kwenye harambee ile. Kwa kweli jitihada kama zile zinatakiwa kuungwa mkono ili vyama vya SIASA viachane kabisa na kukomba RUZUKU toka hazina yetu ili kodi ya nchi hii ifanye yale ya msingi iliyokusudiwa kuyafanya ya kugharamia huduma za jamii ambazo zimeathirika mno kwa kugharamia SIASA na wanaSIASA.
Hofu ya Nape na chama chake isitupotezee muda kwani hata CCM wakiendelea kubaki madarakani rasilmali za nchi hazitabaki salama kama ilivyo sasa ambapo uporaji na ufisadi wa kila aina unaendelea. Pengine Nape alichelewa kuzaliwa, alipaswa kufanyakazi kwenye CCM ya Mwalimu Nyerere, sio hii anayoitetea!
 
Mh Nape, kwa maelezo uliyotoa, Ulitakiwa kuchukuliwa maelezo na police, tuhuma ulizo toa zinahusu usalama wa Taifa. Kwa kuwa serikali ya ccm ni DHAIFU basi maelezo ya NAPE ni ushahidi tosha wa UDHAFU WA CCM na JK
 
Boy, watu kama Nape wanawadhalilisha vijana wote bila kujali itikadi za kisiasa.

Lazima vijana waoneshe uwezo na uwajibikaji vingenevyo akina Kingunge na Wassira watapeta sana
 
Nape sio tu kuwa ni mnafiki bali ni janga katika kundi la vijana. Haiingii akilini yeye kuongea viti visivyo kuwa na kichwa wala miguu halafu huyohuyo ategemewe kutoa bold statement za chama. Ujinga mtupu kwa wanao muamini.
Mkuu tulishatoka kwenye zama za kumwona kijana katika angle ya umri
Kilana ni fikra hai....kwangu mimi Nape ni AJUZA
 
Nape kagusa patamu, kwenye tumbo!
Kafanya kazi yake ya SIASA. Afanye homework kidogo ajiulize mfano mdogo tu wa haya makanisa mapya ya akina Gwajima, Mwingira, Mwakasege, Mzee wa Upako na Kakobe yanawezaje kukusanya utajiri walionao sasa tena kwa kutumia akina mama tu ambao ndio waumini wao wakubwa. Mimi naziunga mkono sana harambee kama hizi za CHADEMA ili tufike mahala KODI za nchi hii zisigharamie SIASA.
 
Nawaamini sana chadema na ninawapenda sana kwa hoja zao ila kwa hili la Nape juu ya fedha kutoka nje napata wasiwasi kidogo hebu inukeni na mjibu hoja/propaganda hizo ikiwezekana kama ni kweli mpelekeni mahakamani kwa kuwachafua.Nilikuwa nasikiliza Capital Radio Nape alivyokuwa anatiririka mlivyotafutwa nyie viongozi wa CDM kujibu mapigo hayo hamkupatikana hewani simu zenu zilikuwa zimezimwa.
 
Nawaamini sana chadema na ninawapenda sana kwa hoja zao ila kwa hili la Nape juu ya fedha kutoka nje napata wasiwasi kidogo hebu inukeni na mjibu hoja/propaganda hizo ikiwezekana kama ni kweli mpelekeni mahakamani kwa kuwachafua.Nilikuwa nasikiliza Capital Radio Nape alivyokuwa anatiririka mlivyotafutwa nyie viongozi wa CDM kujibu mapigo hayo hamkupatikana hewani simu zenu zilikuwa zimezimwa.

Mkuu inasemekana eti hawa jamaa wakishapokea pesa toka nje mara moja huitisha harambee kuchangia M4C ili kuzisafisha hizi fedha za kutoka ugaibuni. Hali inaweza kuwa tete watanzania kama habari hizi ni za kweli, CDM watuhakikshie ukweli au wakanushe habari hizi jamani na kama ni za kweli ni kwa maslahi ya nani? Isije ikawa hata hafla ya harambee hizo iikawa inadhaminiwa na Malozi wa nchi hizo hapa Tanzania zinazowapa hiyo mikwanja.
 
chama hakika unasumbuliwa na ukame wa maono. Wewe na mwenzako Nape ni janga kwa vijana.

Mgosi mtoi maono yapi ambayo hatuyaoni? Naona ulaji mwingi tu hakuna jipya ninaliona hivi chama kumsafirisha mtu UK kufungua tawi lenye wanachama wasiozidi 20 kama si kupeana ulaji ni kitu gani mgosi?

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Nilimwona Mbowe na makamanda wake vijana kwenye harambee ile. Kwa kweli jitihada kama zile zinatakiwa kuungwa mkono ili vyama vya SIASA viachane kabisa na kukomba RUZUKU toka hazina yetu ili kodi ya nchi hii ifanye yale ya msingi iliyokusudiwa kuyafanya ya kugharamia huduma za jamii ambazo zimeathirika mno kwa kugharamia SIASA na wanaSIASA.
Hofu ya Nape na chama chake isitupotezee muda kwani hata CCM wakiendelea kubaki madarakani rasilmali za nchi hazitabaki salama kama ilivyo sasa ambapo uporaji na ufisadi wa kila aina unaendelea. Pengine Nape alichelewa kuzaliwa, alipaswa kufanyakazi kwenye CCM ya Mwalimu Nyerere, sio hii anayoitetea!
Tusipuuze aliyoyasema NAPE, kama yana ukweli ni hatari sana kwa nchi yetu hapo baadaye. Issue hapa siyo kuwacha kupokea ruzuku bali msatakabali wa nchi yetu ambayo sasa wanasiasa wake wanakuwa vibaraka wa nchi za magharibi kwa kupokea vipande vya dinari kama YUDA.
 
Sijui nani kamuazima hii suti

Nape%2Bleo.jpg
 
Back
Top Bottom