Nape avuna aibu SAUT Mwanza (picha)

Nape avuna aibu SAUT Mwanza (picha)

Tunatambua kuwa alilipwa milioni tano kwaajili ya kampeni za kuwania urais wa chuo hicho, baada ya kushinda akapewa milioni saba ili ahame chama, na kisha ameahidiwa uafisa elimu wilaya kulingana na masomo anayosomea,

Shukrani kwa Chadema Saut baada ya kubaini kijana ameasi chama walimfukuza uanachama yeye na vibaraka wake wengine.

Hivyo Nape Nnauye kaja kuchukua makapi.

kweli mkuu,amechukua makapi kwani tulishawatimuaga mapeama sana,rais wa mwaka jana alihongwa fedha baada ya kupelekwa nchini China na Benard Member yeye pamoja na marais wa vyuo vyote nchini,aliporudi tukambaina pale alipotaka kuvuruga uchaguzi wa TAHILISO ambapo kamanda wetu alishinda
 
attachment.php
 
viwanja vingi tanzania ni mali ya ccm. Unalalamika mlinyimwa kiwanja na ccm wakapewa!!! Mpaka leo cdm hawajenga
hata makao makuu ya chama, unataka tuwape kiwanja ili muwadanganye raia??? Tafuteni vya kwenu. Kule arusha kuna
sehemu cdm walikuwa wanapenda kukutana (nmc) na kuanzisha vujo ule uwanja serikali ya ccm iliwapa raia wafanyie biashara,mpaka leo cdm hawana sehemu ya kukutania tena.
tuambie ccm wamejenga wapi ofisi au viwanja? Zaidi ya vile vilipatikana kwa michango ya watanzania wote wakati wa mfumo wa chama kimoja
 
viwanja vingi tanzania ni mali ya ccm. Unalalamika mlinyimwa kiwanja na ccm wakapewa!!! Mpaka leo cdm hawajenga
hata makao makuu ya chama, unataka tuwape kiwanja ili muwadanganye raia??? Tafuteni vya kwenu. Kule arusha kuna
sehemu cdm walikuwa wanapenda kukutana (nmc) na kuanzisha vujo ule uwanja serikali ya ccm iliwapa raia wafanyie biashara,mpaka leo cdm hawana sehemu ya kukutania tena.
tuambie ccm wamejenga wapi ofisi au viwanja? Zaidi ya vile vilipatikana kwa michango ya watanzania wote wakati wa mfumo wa chama kimoja na wao kuvipora badala ya kuvirejesha kwa umma!
 
Nashukuru kwani mnatimiza yale maneno ya manabii na andiko lile takatifu lililoandikwa kwamba"Ili wakombolewe itabidi apigwe na ateswe"bt mnapiga mwili tu na si kupiga kile nachokiamni na kukisimamia

pole sana.
HAKI HAIJI KWENYE KISAHANI WALA HAIOMBWI BALI HUDAIWA. By Thomas Mboya.
 
Dogo Kilunga:

Songa mbele mkuu hata sie tulianzia siasa huko vyuoni na kamwe hatutatulia hadi tutakapoona ukombozi umepatikana, tambua kwamba hakika kazi yako si bure na kwa kuwa umesimama kutetea haki ulibakwa na vibaka ccm hakika utalipwa mema na mwenyezi Mungu kwa wakati wake.

Songeni mbele Makamanda.
 
Dogo Kilunga:

Songa mbele mkuu hata sie tulianzia siasa huko vyuoni na kamwe hatutatulia hadi tutakapoona ukombozi umepatikana, tambua kwamba hakika kazi yako si bure na kwa kuwa umesimama kutetea haki ulibakwa na vibaka ccm hakika utalipwa mema na mwenyezi Mungu kwa wakati wake.

Songeni mbele Makamanda.

haki iliyobakwa.
 
Viwanja vingi Tanzania ni mali ya ccm. Unalalamika mlinyimwa kiwanja na ccm wakapewa!!! Mpaka leo cdm hawajenga
hata Makao Makuu ya chama, unataka tuwape kiwanja ili muwadanganye raia??? Tafuteni vya kwenu. Kule Arusha kuna
sehemu cdm walikuwa wanapenda kukutana (NMC) na kuanzisha vujo ule uwanja serikali ya ccm iliwapa raia wafanyie biashara,mpaka leo cdm hawana sehemu ya kukutania tena.

Sasa wewe unalalamika nini?? Wenzio wa Arusha mpaka leo hawajui wafanye nini kwakuwa ccm ilichukua mali yake, fanya
utafiti dogo usikimbilie kuandika tu. USHAURI ni bora ujitahidi umalizie masomo yako kuliko kushindana na ccm na watu
wake ambao wamekuzidi elimu,,CCM ipo kila siku utachoka na utapoteza muda wako na kibaya zaidi utapoteza future yako.


Unaweza kueleza vilijengwa wakati gani? na walijenga watugani na upinzani wamejiunga watugani?

Walichofanya ccm ni kupora mali ya watu wote nakujimilikisha, sikweli walijenga ccm-vilijengwa na watanzania wote.

Kodi yangu, ya baba, bibi na babu yangu ndiyo ilifanyakazi hiyo na kushirikisha nguvu za wote waliokuwa maeneo hayo wakati ule.
 
attachment.php


Eti walikuwa wengi? nikweli wanafunzi vyuoni huvalia sare za ccm kwa wingi kiasi hiki????

Hawa ndo wale wa kubebwa katika malori na kuletwa mikutanoni na kudanganya umma eti ccm inakubalika lo....
 
attachment.php


Eti walikuwa wengi? nikweli wanafunzi vyuoni huvalia sare za ccm kwa wingi kiasi hiki????

Hawa ndo wale wa kubebwa katika malori na kuletwa mikutanoni na kudanganya umma eti ccm inakubalika lo....


Mkuu Adolay,asilimia 90 ya wahudhuliaji wake walikuwa ni wananzengo tu,na hawakuwa ni wanafunzi,wanafunzi wapo bize na maandalizi ya mitihani inayotarajiwa kuanza wiki ijayo
 
Back
Top Bottom