Ruge Opinion
JF-Expert Member
- Mar 22, 2006
- 1,838
- 701
Mtayarudisha kwa kutumia wapiga kura wapi? Naona CCM sasa vipofu. Vijana ndiyo watakuwa wapiga kura wengi 2015 siyo hivyo vihajuza vinavyokuja kwenye mikutano yenu. Labda kama kura mtapewa na Tume ya Uchaguzi (isiyo huru), Polisi, Takukuru (kufumbia macho rushwa na uchakachauaji), nk. Wa kudanganywa na viT-Shirt na ubwabwa hakuna tena.Kumbe CHADEMA ilichukua majimbo muhimu?