Japhari Shabani (RIP)
R I P
- Jan 16, 2007
- 721
- 180
Hii sio picha ya Njombe, acha kuwadanganya watu. Mtapata tabu sana kudanganya watu kwani UONGO HAUDUMU!!
Ni uwenda wazimu na usanii kwa CCM kujibu hoja za CHADEMA kwa mikutano katika majukwaa.CCM ndiyo iliyopo madaraka inamiliki vyombo vyote vya dola n.k.Kupanda majukwaani na kuiba nyimbo za kupiga vita rushwa,ufisadi ,uwajibikaji ni kuwakebehi wananchi.Nani anaewazuaia kwachukulia hatua wahusika?