Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
- Thread starter
- #21
Tunachaguliwa wabunge dhaifuTatizo sio kujua kusoma na kuandika.
Tatizo ni Wakurugenzi kuendekeza Rushwa na kuwapa ushindi watu walioshindwa.
Kama wagombea wa CCM wangeshinda kwa kura basi Chama kingepitisha watu wenye uwezo.
Lakini kwa sababu Wakurugenzi ndio wanaoteua wabunge CCM haina sababu ya kutuletea wabunge bora.