Tatizo la Watanzania hilo tu, Yaani kuona hilo vazi basi unahukumu, we una uhakika kwamba hiyo picha ndiyo mwenyewe? au kwa vazi hilo basi una mhukumu kuwa ni muislamu. ooh, Tanzania, watu wako wanaharakati uchwara, wepesi, hawana fikra. Watu kama nyie sijui mtaelimika lini. Acheni kukurupuka na tujaji mambo ya msingi kwa hoja. Poor Tanzania. Sasa wewe tukikupa hata ubalozi wa nyumba mbili si utatuangusha? Acheni siasa za kusoma mwanahalisi. lisingekuwepo ungefanya wapi siasa? Ndugu zangu, mabadiliko tunayatamani hata sasa yaje, lakini si kwa staili hizi za hoja "chapwa"