Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 58,005
- 134,203
Nape akiwa SAUT amewaahidi wanafunzi kushughulikia matatizo yao ya mikopo pamoja na mazingira mabovu ya kusoma.
Wadau hawa ni wasomi wanakuwa misukule kiasi hiki,je wananchi vijijini itakuweje.
Wasomi hao hawawezi hata kuhoji kwa nini matatizo hayo hayajatatuliwa miaka 10 ya JK.
Wasomi wanapoishia kulishwa ng'ombe na bia,tutegemee mabadiliko na uwajibishaji?
Haya mambo yanatia kinyaa
Wadau hawa ni wasomi wanakuwa misukule kiasi hiki,je wananchi vijijini itakuweje.
Wasomi hao hawawezi hata kuhoji kwa nini matatizo hayo hayajatatuliwa miaka 10 ya JK.
Wasomi wanapoishia kulishwa ng'ombe na bia,tutegemee mabadiliko na uwajibishaji?
Haya mambo yanatia kinyaa