Nape apokelewa kishujaa SAUT Mwanza

Nape apokelewa kishujaa SAUT Mwanza

Wana comment kujipa faraja ya nafsi lakini rohoni kinawauma, go go Nape.
 
Chadema presha inapanda, presha inashuka, Ukawa puchi inabana,puchi inashuka.
 
Kama huku ndo kupokelewa kishuja kwa msemaji mkuu wa CCM waTanzania bara na nchi ya Zanzibar basi CCM imekwisha. Kwa sababu msafara wake sharti uwe wa watu toka Taifa Mkoa Wilaya mpaka Tawi la hapo anapofanyia kikao sasa kama wahudhuriaji ndo hao...!!! CCM kwa HERI
 
Mazuzu kwa mzuzu wamekutana kudanganyana
Nini kipya hapo wote hao ni familia moja
 
Na abubakar asenga alikuwa anarudisha kadi ya cdm?kweli nape ameenda kujipokelesha saut.mwaka huu lazima wafie barabarani maana wamegawana majukumu wakati kikosi kimoja kikiwa front kwa wizi kingine kinazunguka kuzuga maboya.
 
Mazuzu kwa mzuzu wamekutana kudanganyana
Nini kipya hapo wote hao ni familia moja

Mkuu umekosea, CCM iko Nationalwide hakuna sehemu Tanzania utakanyaga uikose CCM.
CHADEMA ndio familia moja. Ndio maana ni wale wale tu, halafu iko upande flani wa nchi.
 
hivi yule demu alipiga picha za uchi wa hapo sauti mwanza (nsia swai) yupo? people graduated but still stupidy

Bangi za kugongea zinalevya sana.

Huyo demu wako alianza lini chuo hadi sasa bado awe anasoma?
 
Hahahhaha! Mabavicha mmehangaika weeee mwisho yametimia niliwaambia hamuwezi zuia mafuriko kwa viganja!!! Rais wa serikali ya wanafunzi SAUT, Saimon Filbert Macheyeki kakabidhi kadi ya CDM kwa Nape na kupewa kadi ya kijani kadi ya CCM.

Big Up Nape, kanyaga twende!
 
hakuna kitu kwa vijana wakitanzania ni njaa tuu, kijana yeyote yule wa Kitanzania Tumbo lake ndio msimamo wake sio kichama hata nape naye angekuwa CHADEMA kama angeahidiwa kugombea Ubungo mwaka 2010, hakuna kitu hapo ni njaa tuu, ningeshangaa kama ningesikia Mzee Mtei kahama kumbe huyo ambaye bado ni undergradute njaa yake ni ajira yake
 
Tupia picha mkuu tuone kulivyofana.!!
 
hakuna kitu kwa vijana wakitanzania ni njaa tuu, kijana yeyote yule wa Kitanzania Tumbo lake ndio msimamo wake sio kichama hata nape naye angekuwa CHADEMA kama angeahidiwa kugombea Ubungo mwaka 2010, hakuna kitu hapo ni njaa tuu

Ndugu yangu @mwunukai mwenzako wamekimbia huu uzi hawana hoja ya kujibu kinawauma kama nini.
 
Hahahhaha! Mabavicha mmehangaika weeee mwisho yametimia niliwaambia hamuwezi zuia mafuriko kwa viganja!!! Rais wa serikali ya wanafunzi SAUT, Saimon Filbert Macheyeki kakabidhi kadi ya CDM kwa Nape na kupewa kadi ya kijani kadi ya CCM.

Big Up Nape, kanyaga twende!

Inaonekana Una matatizo ya ubongo,kwani hiyo jamaa alishafukuzwa uwanachama Wa cdm,kipindi kirefu we Leo ndio unaanza kuweweseka?pole zako mkuu
 
[video=youtube_share;SKMYmbLr6TM]http://youtu.be/SKMYmbLr6TM[/video]​
 
Bangi za kugongea zinalevya sana.

Huyo demu wako alianza lini chuo hadi sasa bado awe anasoma?
hivi kweli humjui nsia swai bora nagongea wewe unavutia kwenye ndani ya shimo la taka people graduated but still stupidy
 
Propaganda chafu, huyo alishafukuzwa siku nyingi baada ya kuonekana hana dira ya maisha!!!
 
HAJITAMBUI,ALIFIKIRI cdm NAKO KUNA RUSHWA NA UJANJAUJANJA.AENDE TU:israel::der:
 
Back
Top Bottom