😂😂😂🤣😂Mnachanganya sana watu kuna mtu kapost kuwa Jemedari kawabwaga kwa Shangwe nikaagiza broiler Mzima na Jacki's 5 na Dompo ya kuondolea kiungulia cha broiler so sad ndio hivyo tena furaha imekuwa Karaha.
Kuna watu mmejipata jtatu kbs unachapa vyombo kibabeMnachanganya sana watu kuna mtu kapost kuwa Jemedari kawabwaga kwa Shangwe nikaagiza broiler Mzima na Jacki's 5 na Dompo ya kuondolea kiungulia cha broiler so sad ndio hivyo tena furaha imekuwa Karaha.
Huu umeme uliokatika nchi nzima,imepita na uharibifu mahali lazima!Mnachanganya sana watu kuna mtu kapost kuwa Jemedari kawabwaga kwa Shangwe nikaagiza broiler Mzima na Jacki's 5 na Dompo ya kuondolea kiungulia cha broiler so sad ndio hivyo tena furaha imekuwa Karaha.
Mzee Bao Bao sio wa kuamini anaweza akaiba hata watu.Huu umeme uliokatika nchi nzima,imepita na uharibifu mahali lazima!
Hatimaye Nape kawasha Moto huko Mtama katika kata 19 kati ya 20 matokeo ni haya
1. Nape kura 3,160
2. Nahonyo kura 1,545
3. Chilumba 824
4. Jemadari Saidiu ni haramu,nusu haramu na halali?
Hizo kura ni haramu,nusu haramu au halali?Hatimaye Nape kawasha Moto huko Mtama katika kata 19 kati ya 20 matokeo ni haya
1. Nape kura 3,160
2. Nahonyo kura 1,545
3. Chilumba 824
4. Jemadari Saidi 358
Pole sana, ila jamaa pale Bukoba alishasema yeye ni mtu wa kazi chafu kwenye uchaguziMnachanganya sana watu kuna mtu kapost kuwa Jemedari kawabwaga kwa Shangwe nikaagiza broiler Mzima na Jacki's 5 na Dompo ya kuondolea kiungulia cha broiler so sad ndio hivyo tena furaha imekuwa Karaha.