Nape ana wadhifa gani SERIKALINI?

Taarifa kwa umma juu ya uamuzi wa Raisi kutengua baraza lake la mawaziri ilitolewa na Nape Nnauye. Binafsi sielewi, yeye ana wadhifa gani serikalini? Viongozi wengine au idara ya mawasiliano ya Ikulu ilikuwa wapi mpaka yeye atoe taarifa ya Serikali kwa umma kupitia vyombo vya Habari? Lakini pia uamuzi wa kutengua baraza unafanywa kupitia kamati kuu ya CCM, yenyewe kama nani Serikalini? Mwenye kujua anieleweshe.[/QUOTE]
Nape ni DC Masasi!
 
Hali hii ndi mbaya sana. Wajue kwamba hii ni nchi ya vyama vingi si kimoja. Sasa sijui hata wangeenda CUF kufanyia mikutano state house sijui kama wangeruhusiwa. Mambo haya yanatutia hasira sana.
 
Taarifa kwa umma juu ya uamuzi wa Raisi kutengua baraza lake la mawaziri ilitolewa na Nape Nnauye. Binafsi sielewi, yeye ana wadhifa gani serikalini? Viongozi wengine au idara ya mawasiliano ya Ikulu ilikuwa wapi mpaka yeye atoe taarifa ya Serikali kwa umma kupitia vyombo vya Habari? Lakini pia uamuzi wa kutengua baraza unafanywa kupitia kamati kuu ya CCM, yenyewe kama nani Serikalini? Mwenye kujua anieleweshe.


Kilichotokea kwa Nape ni ile hali ya kuwa na power gap ktk serikali; if A fails to exercise duties assigned then B may without the endorsement of A exercise A's duties and assignment.
 
Bado tupo kwenye enzi ya chama kushika hatamu, CHAMA NA SERIKALI.

umeshaona mtu kapunguziwa madaraka (sort of demotion) lakin bado ana assume yupo juu na kuendelea kutoa majukumu ambayo hayamhusu tena! washikaji hawa magamba sugu bado hawaamini kuwa tupo ktk mfumo wa multiparticism.

sirikali, to their opinion and views, ni yao hivyo utaratibu hawafuati na wataendelea kupiga bao till death do them apart.

viva CDM 2015! WAKATI WA UKOMBOZI NI SASA (wapi mchg. Mtikila!! nae si akate shauri aingie ktk mpambano huu!?)
 
Back
Top Bottom